Recent content by manz98

  1. manz98

    Alichofanya Rais Kikwete Australia ni sahihi?

    huyu kijana ni mkubwa sio chini ya umri wa miaka 18. kisheria ni mtu mzima. hakustahili kuwepo.
  2. manz98

    Zitto: Nitafanya uamuzi mgumu

    Zitto alikuwa anasema anataka kugombea Urais, mapema sana. kama nia yake ilikuwa ni ya dhani na si kuvuruga chama, basi Cheyo na UDP wanatafuta mgombea wa Urais, hakika UDP wanaweza mpa hiyo ticket. Zito nenda UDP. kwani wanao wapa wapinzani kura ni wale wale.
  3. manz98

    Bunge Litii Mahakama; Lisipotii Nani Aitii Basi?

    Viva Burkinafaso!! Viva Burkinafaso .... ndio njia pekee ya kupata usawa na haki . EPA hakuna mkuu hata mmoja aliye fungwa jela. Ukiiba fedha ya umma kwa mamilioni/billions Tanzania adhabu yako ni kurudisha fedha hizo kwa siri. hata mimi NIKIPATA NAFASI NITAJARIBU kuiba.......wakinikamata...
  4. manz98

    Rwanda, Uganda zajitoa Bandari ya Dar

    haya yote yanatokana na siasa nyingi Watanzania....kila kitu ujuaji. Tanzania leo haina uhusiano mzuri na majirani zake hilo ndio tatizo kubwa....Malawi itafuata kujitoa kutumia bandari zetu. Diplomasia duni, na nchi kuendeshwa kwa mipasho.
  5. manz98

    Swali Rahisi: Nyerere aliwashughulikiaje Waganda "Illegals" wakati wa "chokochoko" Za Idi Amin?

    Hivi kweli Rais akitukanwa nchi zina kwenda vitani? hili ndio swali la msingi. George Bush alitukanwa na kudhalilishwa sana na Hugo Chavez wa Venezuela, lakini hata siku moja haijawahi kufikiriwa vita baina ya nchi hizo mbili. mipakani mwa nchi zote duniani hata USA kunao wahamiaji wasio na...
  6. manz98

    Sababu za Tanzania kutengwa EAC na kina Museveni, Kagame, Kenyatta hizi hapa

    Tanzania ijikite zaidi EAC...maana hao ndio mlio nao karibu, swala ni kuacha kuchanganya siasa na biashara/fedha. hakuna namna yeyote tunaweza kufaidika na zaidi na South Africa kiuchumi, kibiashara zaidi ya jirani zetu Kenya/uganda/rwanda/burundi....hawa ndio patner wetu na sio Zimbabwe au...
  7. manz98

    Mh. Mbowe afika Polisi Makao Makuu kwa mahojiano

    Huyu Chris Lukosi sio timamu, anamatatizo ya akili, wee angalia jinsi anavyobadilisha badilisha picha humu kama facebook...kaka unauza sura? hii ni forum ya watu wanaotumia akili, fikra na mawazo mapana. anyway umependeza kweli...kesho weka picha ingine
  8. manz98

    Waziri wa Kenya aidharau Tanzania

    Watanzania mkiambiwa ukweli, mnakuwa wakali.... manataka vita, sasa hao wakenya tuwapige vita sasa. infact jamaa kasema kweli bandari zetu mambo sio mazuri..hata Mwakyembe anakubali, ndio mana kila kukicha wanafukuzana huko.
  9. manz98

    Utofauti wa Makambi ya vijana wa CCM na kinachoanzishwa na CHADEMA

    Bwana Mwigulu, ungekuwa unatokea na Dk Ulimboka kwenye picha na majukwaa ukitetea haki, kweli ningeamini wewe ni mpenda haki na una stahili kuwa kiongozi. Otherwise wewe una mtumia tu huyu Bwana Tesha for political gain, or we call political exploitation.... wewe hauna tofauti na hao watu...
  10. manz98

    Majibu ya JK kwa Kagame ni haya hapa

    Rais Jk kamuonea wivu tu Kagame, akaona tafute kitu cha kuwakera, amesema huku akijua kabisa FDLR ni kina nani, Siasa za nje za Tanzania hazina tena mvuto, kwa muda mrefu tu na JK anajua hilo. JK amesahau kwamba Kagame na Museveni ni sawa na kurwa na dotto lazima watasaidiana, then kenya...
  11. manz98

    Kagame tells Kikwete "I will hit you......"

    Cuba ni nchi ndogo sana kushinda Miami, na iko karibu kabisa na USA.... lakini hawajawahi kupigana vita. na kila mtu anajua kabisa kwamba USA ina uwezo mkubwa. na viongozi wa nchi hizo wanatofautiana sana kabisa kuliko huyo Rais Kikwette na Rais Kagame.Tena uhasama wao ni mkubwa na wa...
  12. manz98

    BBC: Jumuia ya Afrika Mashariki mashakani, Marais wa Kenya, Uganda na Rwanda waunda umoja wao!

    kama ni kweli viongozi wanakuja kwasababu ya utawala bora, je mbona kuna tofauti kubwa sana kiutawala na kimtizamo kati ya Demokrasia ya Marekani/western na Demokrasia ya Uchina/communist party. Rais wa china na Rais wa marekani.....wote wamefuta biashara zao tu hapa, hata kama Rais angekuwa...
  13. manz98

    Ugomvi wa JK na Kagame kuiathiri vibaya Tanzania kiuchumi. Rwanda, Uganda kutumia bandari ya Mombasa

    Rais Kikwette alikosea sana , kauli aliyoitoa pale addis ababa Ethiopia, sio sawa,pamoja na kwamba amekuwa waziri wa nje kwa muda mrefu, sijui alishindwa nini kutumia diplomasia, Angalia wamarekani watasema American interest Assad must go.....and not Syrian interest. je Kagame aongee na FDLR...
  14. manz98

    Kikao cha siri cha Kaguta, Kagame na Kenyatta (tripple K) chaamua mambo mazito...

    Rais kikwete ana mtazo tafauti kabisa na hawa Marais, na wengine wengi tu wa nchi zinazoendelea/maskini. Mr Kikwete anajua kabisa hakuna nchi yeyote duniani iliyo endelea kwa misaada, na kuomba omba omba. njia pekee ya kujikwamua ni kujitegema, kujisaidia wenyewe tu, na inawezekana. sasa kweli...
  15. manz98

    Rwanda defence force retreat-kigali (picha)

    kwanini ndugu zangu watanzania tunapenda sana vita? kwanini kila kitu mnawaza vita...... tatizo la malawi la mpaka, mnawaza vita, Maraisi wa nchi, au serikali zikitofautiana mnawaza vita. kuna uhusiano gani wa kauli ya President Kikwete na vita? mbona hatuzungumziii mambo mengine......inamaana...
Back
Top Bottom