Rwanda defence force retreat-kigali (picha)

Rwanda defence force retreat-kigali (picha)

Unachosema ni kweli mkuu lakini tatizo ni kwamba kuna watu humu huwa wanapenda kujikweza kupita wenzao na wanataka kuwaongopea wenzao. Huwa kila kitu humu wanataka kufanya ni ushindani kama wa mpira. Ukitaka kuhakikisha hilo huyu ndugu nimemuuliza ataje force number yake bila kuonyesha figure ambazo zinamjulisha yeye ni nani,ningeweza kujua intake yake ilikuwa mwaka gani tu,kashindwa!. Amebaki anaendelea kubishana tu na kusema yeye yupo ndani. Kwani hata yeye kupitia hizo picha nani amemuambia Rwanda inajiandaa kuipiga nchi fulani!?. Hizo picha mi naona kama routine workshops and trainings tu ambazo hata JWTZ huwa wanafanya ila hawajipigi picha na kuweka humu.Akitaka kuwa great thinker mshauri aache porojo na speculations!

QUOTE=Koba;6676163]Watu wengine mnaongea as if kuna vita btn TZ vs Rwanda,na wala hakuna beef yeyote na inasikitisha sana watu msioelewa siasa za Rwanda mnavyo fall na propaganda za watu humu wenye agenda za ant Rwanda/kagame humu JF, na huko Congo JWTZ hawajaenda kupigana na Rwanda maana Rwanda hawana hata mwanajeshi mmoja huko,be carefully guys maana JF imeingiliwa na watu wenye chuki na Rwanda[/QUOTE]
 
Watu wengine mnaongea as if kuna vita btn TZ vs Rwanda,na wala hakuna beef yeyote na inasikitisha sana watu msioelewa siasa za Rwanda mnavyo fall na propaganda za watu humu wenye agenda za ant Rwanda/kagame humu JF, na huko Congo JWTZ hawajaenda kupigana na Rwanda maana Rwanda hawana hata mwanajeshi mmoja huko,be carefully guys maana JF imeingiliwa na watu wenye chuki na Rwanda

1. M23 wote ni wanajeshi wa Rwanda
2. Juzi juzi tu Kagame na serikali yake wamemwaga matusi kwa Kikwete na Tz kwa ujumla
3. Ushahidi wa Mtikila unaonesha Rwanda hasa Kagame na sera zake ni adui

uliyoandika ni uongo
 
nikama rwanda wanataka kuhama bandari ya dsm na kwenda mombasa
museven,kagame and kenyatta.jpg
hii imekuja baada ya kagame kuambiwa ukweli na jk
 
Upo ndani wapi??? Wanajeshi wetu ni imara kuliko hao wa tutsi, hizo retreat ni issue za kawaida sana JWTZ hawaitaji promo.
 
watu wanashabikia mambo ya jeshi kama Simba na Yanga.!!!!
 
1. M23 wote ni wanajeshi wa Rwanda
2. Juzi juzi tu Kagame na serikali yake wamemwaga matusi kwa Kikwete na Tz kwa ujumla
3. Ushahidi wa Mtikila unaonesha Rwanda hasa Kagame na sera zake ni adui
uliyoandika ni uongo
Are you for really?seems debating na watu kama wewe is just a waste of time ila hakuna vita wala beef kati ya TZ na Rwanda,M23 ni Congolese 100% and has nothing to do with Rwanda,Kikwete alitoa opinion zake na wenzake wakamjibu so ni kawaida na wala hakuna mtu anamwogopa au ataenda kumpiga mabomu kama anavyowapiga Chadema na huyo Mtikila ndio nani?mganga wa kinyeji au ?
 
wewe mimi nipo ndani najua kuliko unavyofikiri, jwtz sasahv limebaki kuwa jeshi la siasa hakuna kitu full ufisadi,hauna mipangilio linaendeshwa tu kwa nguvu ya mungu ila usije ukaweka imani yako kwa jwtz incase vita ikitokea hatuna askari jeshini ila tuna watu ambao wamekosa ajira wakakimbilia huku!

nyambaf! waambie waanze hata kama wamekupandikiza najua muziki wetu unaujua! ka nchi kenyewe sawa na himaya ya J. mnyika, wilaya ya kinondoni! one hour tu inatosha kuwahamishia misitu ya congo kwa wale jamaa zenu intarahamwe! mmechoka kuwatukana police mnaanza kwa jw, you are barking a very wrong tree Mademoiselle!
 
nyambaf! waambie waanze hata kama wamekupandikiza najua muziki wetu unaujua! ka nchi kenyewe sawa na himaya ya J. mnyika, wilaya ya kinondoni! one hour tu inatosha kuwahamishia misitu ya congo kwa wale jamaa zenu intarahamwe! mmechoka kuwatukana police mnaanza kwa jw, you are barking a very wrong tree Mademoiselle!
ha ha mkuu na wewe umelewa sifa zile za jw za zamani za nduli iddi amin! udogo wa nchi haumaanishi na wala hauna parameter yoyote katika vita,mfano israeli ni ndogo kiasi kwamba ndege ya kivita huchukua dk 3.7 kuicross katikati,lakini pamoja na udogo wake waarabu hawakohoi,ona japani,cuba,vietnam ni miongoni mwao,na kama tukifuata ukubwa wa nchi ona congo inavyoshindwa vita kila kukicha na nchi ndogo kama rwanda,china na ukubwa woote ule waliwahi tawaliwa na japan,uingereza ni kisiwa kidogo sana lakini kilishawahi kutawala dunia(BRITISH EMPIRE) KWAHIYO UDOGO WA RWANDA SIO TIJA! mambo ya msingi ni mipango(strategic),uongozi bora,askari wenye uzalendo then silaha ni kitu cha mwisho! tuliweza kumshinda iddi amin sio eti tulikuwa na silaha bora kuliko yeye hapana!wao UGANDA walituzidi sana katika nyenzo za kivita isipokuwa hawakuwa na vitu viwili vya umuhimu katika vita hawakuwa na askari wenye morali wa kupigana coz wengine kama museveni walikuwa upande wetu,hawakuwa na uongozi bora wa kijeshi na kisiasa ikumbukwe amin alikuwa dikteta! wakati sisi tanzania kila kitu kilikuwa safi kuanzia SIASA,UCHUMI NA UONGOZI(military&intelligence) ndio maana tulishinda ile vita ila sio siku hizi siku hzi ni tofauti usikae ukashabikia tu!
 
Kuongelea chombou usalama kwenye mitandao ni uhaini na adhabu yake mnaijua tuwe wazalendo kwa kweli
 
ha ha mkuu na wewe umelewa sifa zile za jw za zamani za nduli iddi amin! udogo wa nchi haumaanishi na wala hauna parameter yoyote katika vita,mfano israeli ni ndogo kiasi kwamba ndege ya kivita huchukua dk 3.7 kuicross katikati,lakini pamoja na udogo wake waarabu hawakohoi,ona japani,cuba,vietnam ni miongoni mwao,na kama tukifuata ukubwa wa nchi ona congo inavyoshindwa vita kila kukicha na nchi ndogo kama rwanda,china na ukubwa woote ule waliwahi tawaliwa na japan,uingereza ni kisiwa kidogo sana lakini kilishawahi kutawala dunia(BRITISH EMPIRE) KWAHIYO UDOGO WA RWANDA SIO TIJA! mambo ya msingi ni mipango(strategic),uongozi bora,askari wenye uzalendo then silaha ni kitu cha mwisho! tuliweza kumshinda iddi amin sio eti tulikuwa na silaha bora kuliko yeye hapana!wao UGANDA walituzidi sana katika nyenzo za kivita isipokuwa hawakuwa na vitu viwili vya umuhimu katika vita hawakuwa na askari wenye morali wa kupigana coz wengine kama museveni walikuwa upande wetu,hawakuwa na uongozi bora wa kijeshi na kisiasa ikumbukwe amin alikuwa dikteta! wakati sisi tanzania kila kitu kilikuwa safi kuanzia SIASA,UCHUMI NA UONGOZI(military&intelligence) ndio maana tulishinda ile vita ila sio siku hizi siku hzi ni tofauti usikae ukashabikia tu!

Analysis nzuri Mkuu huyu hana tofauti na mtoto mjinga nayejivunia elimu ya babu yake wakati yeye ni empty head..
 
kwanini ndugu zangu watanzania tunapenda sana vita? kwanini kila kitu mnawaza vita...... tatizo la malawi la mpaka, mnawaza vita, Maraisi wa nchi, au serikali zikitofautiana mnawaza vita.
kuna uhusiano gani wa kauli ya President Kikwete na vita?
mbona hatuzungumziii mambo mengine......inamaana sisi ni watu waa...mabomu na risasi tu.

semeni hivi....hawa wa Rwanda tutawafunga magoli mengi tu, wakicheza mpira na sisi mpaka washike adabu.
au watatukoma tukikutana Olympiq huko kwenye riadha au ndondi......au tutawajomesha kwenye netbal....nk
 
Are you for really?seems debating na watu kama wewe is just a waste of time ila hakuna vita wala beef kati ya TZ na Rwanda,M23 ni Congolese 100% and has nothing to do with Rwanda,Kikwete alitoa opinion zake na wenzake wakamjibu so ni kawaida na wala hakuna mtu anamwogopa au ataenda kumpiga mabomu kama anavyowapiga Chadema na huyo Mtikila ndio nani?mganga wa kinyeji au ?

we mtusi Koba utabaki kudanganywa na Kagame mpaka lini? au ndo kusema wajua siri lakn unataka kumremba. kweli nyinyi akili zenu kama makalio mnafikiri mko superior kushinda watu wengine.
mko superior kwa wahutu tuuu my brother. pelekeni huko utusi wenu
 
kwanini ndugu zangu watanzania tunapenda sana vita? kwanini kila kitu mnawaza vita...... tatizo la malawi la mpaka, mnawaza vita, Maraisi wa nchi, au serikali zikitofautiana mnawaza vita.
kuna uhusiano gani wa kauli ya President Kikwete na vita?
mbona hatuzungumziii mambo mengine......inamaana sisi ni watu waa...mabomu na risasi tu.

semeni hivi....hawa wa Rwanda tutawafunga magoli mengi tu, wakicheza mpira na sisi mpaka washike adabu.
au watatukoma tukikutana Olympiq huko kwenye riadha au ndondi......au tutawajomesha kwenye netbal....nk

.............ukichanjia (kuaguliwa) na ile dawa ya nguvu ya kisambaa (Muku) ...basi unatamani kuzipiga kama steringi wa kichina !:fencing::laser::laser::laser:
 
Vita sio jambo la kuombea wandugu. vita siku hiz hawaingii msituni kupigana, vyombo vinatumwa from point A to point B. Sasa hapo inategemeana nani mwenye silaha za kisasa na jeshi la kisayansi. Mungu ilinde Tanzania. Viongozi wetu walivyo wezi hawa tukiingia vitani sindio nchi nzima tutakufa. 7bu mwanasiasa hakawii kujifanya ndio msemaji wa kila kitu.
 
wewe mimi nipo ndani najua kuliko unavyofikiri, jwtz sasahv limebaki kuwa jeshi la siasa hakuna kitu full ufisadi,hauna mipangilio linaendeshwa tu kwa nguvu ya mungu ila usije ukaweka imani yako kwa jwtz incase vita ikitokea hatuna askari jeshini ila tuna watu ambao wamekosa ajira wakakimbilia huku!

Ukweli ndio huo kamanda,kule jeshini kimekuwa kichaka cha wezi kama wakina SHIMBO; inasemekana wengi walioficha VIJISENTI huko nje ya nchi ikiwemo Uswisi ni hao hao wanajeshi!!!
 
Back
Top Bottom