Huyu jamaa hata hesabu hajui yani unadhani kontena 256 zote ni dhahabu anazidisha na tani kabisa,,,jingine USD mil1 sio tirioni Ndugu ni around bil2,,,,,kwa hesabu hizo tu nimejua wewe ni bure kabisa hujajipanga
Kiburi..dharau..matusi Kwa mumewe baada ya kupata ubunge tu jamaa akaona usiwe tabu akapiga chini maana ulikua full kuchepuka na wakubwa wa CHAMA tena waziwazi ...tulimuambia abadilike hakusikia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.