Hivi mnawaelewa halotel

Hivi mnawaelewa halotel

Hawa jamaa sasa ivi ukijiunga kifurushi chao yaani kitaisha mda na ujakitumia maana akifungui chochote
 
Hallo Internet wako poa shida yao mb zao hazina nguvu hazikai hata kama zikiwa 600
 
We rudi kwenye line yako ya zamani kwanza wamekuwa wezi tu
 
Wamekuwa wezi siku hizi kusurf mtandaoni kwa kusoma magazeti nk masaa mawili nashangaa mb 500 zimekatika
 
Raha ya Halotel uwe mikoani, kama ni wa Dar hiyo line tupa kule..
 
Wakati halotel inaanzaa,internet yao ilikuwa na speed kama kimondo,ila tangu user wawe wengi,naonaa kichwa kimekuwa kikubwaa,yaani speed kama jongoo,sasa ni ushamba au nini!???
market penetration technique hata muda wa mapenzi unaingia taratiiiibuuuuu then ndio unaanza mbwembwe zako.kua mpole tu mkuu au rudi kwa wale wale
 
Back
Top Bottom