Yes much katumia lugha ya ukali lakini kaonesha angalau ana kitu tofauti cha kuisaidia nchi. Nadhani mradi wa kufua umeme wa rufiji ukikamilika mdau atakuwa amepata faraja. Ni bahati mbaya tumechanganya vitu vingi katika kipindi hiki lakini naamini kama kila mtu atatoa constructive critisism...
Inabidi tuwaombee mkuu. Matatizo ya jirani ni ya kwetu. Ninachokiona sisi tunaongea mambo mengi ili kujifurahisha nafsi kutegemea na mrengo wa kisiasa. All in all we pray to God so that Kenyans finish their assignment without blood shed.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo njia ya Kawe ukifika pale Round about utamkuta asubuhi. Bado anafanya kazi yake kwa tabasamu na furaha kama vile maisha hayana mabonde na milima. Ni baadhi ya watumishi wachache ambao wanaipenda kazi yao hata kama ni ngumu ya kukaa juani. Hongereni askari wetu wote mlioko sehemu mbalimbali...
Katika hao ngamia busara ni kuongeza ngamia mmoja jumla wanakuwa ngamia 18. Mmoja anapata nusu i.e. ngamia 9 wapili 1/3 ni ngamia 6 na watatu 1/9 ni ngamia 2. Jumla ni ngamia (9+6+2=17). Na mgawaji anaondoka na mmoja wa 18.
Ni kweli RAM - Random Access Memmory ni mahari ambapo processor inaload program inapoanza kuzifanyia kazi. Kwa hiyo wakati mwingine processor inaweza kuwa nzuri kama RAM ni ndogo sana pia hutapata matokeo mazuri. Katika yote ni vema Processor ikawa kubwa ya kutosha kisha RAM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.