KENYA: Chama cha Wanasheria chalaani kauli za Rais Uhuru Kenyatta juu ya majaji

Hiyo kukubali kukosolewa tu kwa Kenyatta ni uthibitisho tosha kuwa jamaa anakubali sana uhuru wa mwanadamu katika kufikiri, ingekuwa Tanzania hao chama cha mawakili wangekoga matusi ya kufa mtu toka kwa Magufuli
Lowassa anamuunga mkono UHURU sasa usitegemee sisi kumpinga
 
Uhuru Kenyatta is a thief and a killer.


Once a thief/killer always a thief and a killer.

He killed Chris Musando now he is announcing to come for Judge David Maraga.

Kenyans should protect your citizens if Kenyatta is turning against his own people.

That's the general picture of power monger leaders across the continent of Africa.

Kenyatta now is a shame.
 
Angekua Lissu na TLS wameandika hivi zingejaa thread humu za "wazalendo"kumtukana
Hujiulizi kwann la choo na team yake wapo kimya? Wao wapo upande wa uhuru, na maneno aliyoongea kwao ni aibu. Mtu wanayesema ana demokrasia leo ndio anawawekea kisasi cha wazi majaji. Na hata zile hoja za Uhuru kuwa ameshinda kwa kuangalia wingi wa wabunge na madiwani wake, ndio zilezile walizokuwa wanazikataa Ukiwa kwa ccm. So la choo na wanzie hawajui watu wa kuwasapoti au kuungana nao.
 
This time things are not in favour of Uhuru and co. They have to agree with the situation.
 
Kule kushakuwa kugumu maana anachoshangaa uhuru wa bunge na watu wengne wameapishwa kwanin uraisi tuuh ndio kuwe na shida....

Which ni kitu cha msingi km vitu vyengne viko sawa kwanin shida iwe uraisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii siyo sababu maana waliogombea urais hawakuwa wawili lakini alienda mahakamani ni mmoja sasa kama wabunge hawakuridhika ni juu yao maana siyo sababu ya kuhalalisha uchakachuaji.
 
Hujiulizi kwann la choo na team yake wapo kimya? Wao wapo upande wa uhuru, na maneno aliyoongea kwao ni aibu. Mtu wanayesema ana demokrasia leo ndio anawawekea kisasi cha wazi majaji. Na hata zile hoja za Uhuru kuwa ameshinda kwa kuangalia wingi wa wabunge na madiwani wake, ndio zilezile walizokuwa wanazikataa Ukiwa kwa ccm. So la choo na wanzie hawajui watu wa kuwasapoti au kuungana nao.
Nenda facebook ama katika social media zao kabla ya kuja katika ukumbi wa wabongo.

Huko Uhuru anatukanwa sana kuhusu hii ya kuwasema majaji.
 
Chama cha mawakili nchini Kenya LSK kimemkosoa Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ya kuwashambulia majaji wa mahakama ya juu kufuatia uamuzi wa kubatilisha uchaguzi wake.

Rais wa LSK Isaac Okero katika taarifa siku ya Jumamosi alimkosoa rais Kenyatta kwa kumtaja jaji mkuu David Maraga na majaji wengine wa mahakama hiyo kuwa "Wakora".

Rais Kenyatta alitoa matamshi hayo wakati wa ziara ya kukutana na wafuasi wake katika soko la Burma mjini Nairobi siku ya Ijumaa muda mfupi baada ya mahakama hiyo ikiongozwa na jaji Maraga kufuatia mbali uchaguzi wake.

Kwenye hiyo barua kulikuwa na haja gani ya LSK kumwambia Rais kwamba "wewe una kinga"?

Wanasheria wa East Afrika wachovu sana.
 
Tsunami inakuja Kenya, subirini nyie endeleeni kuwasifia na hiyo Demokrasia yenu, lkn soon or letter mtaelewa ninachomaanisha!
Inabidi tuwaombee mkuu. Matatizo ya jirani ni ya kwetu. Ninachokiona sisi tunaongea mambo mengi ili kujifurahisha nafsi kutegemea na mrengo wa kisiasa. All in all we pray to God so that Kenyans finish their assignment without blood shed.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Demokrasia Africa bado hadi 2200 yrs.. Sbb Demokrasia bila Elimu ya kweli kwa wananchi na viongozi wote haiwezekani.. ELIMU AFRICA BADO DUNI MNO MNO..

Haijalishi kama kuna Demokrasia, Katiba nzuri na safi au Tume Huru ya Uchaguzi kama walioshika mpini hawana uadilifu na uzingatiaji wa miiko ya weledi (lack of integrity and professional ethics nullifies every good thing).
 
Law Society of Kenya condemns Uhuru’s threatening remarks on judges

ff4e7e137e96241f79749390bfd3b8ca.jpg

c252faca504cfd535523af2f7073b966.jpg


SUMMARY
> Law Society of Kenya commended President Uhuru for also declaring that he respects court’s decision which he does not agree with

> LSK, condemned his further attacks towards Judiciary terming the remarks as inappropriate and unconstitutional

> President Uhuru hit out at the Supreme Court questioning the grounds on which his nullification was determined and threatened to deal with Judiciary if he will be reelected within the 60 days

fb176df4acb8c2eb009463eff1a39812.jpg


The Law Society of Kenya says President Uhuru Kenyatta is entitled to express his dissatisfaction in yesterday’s Supreme Court ruling which invalidated the announcement of his reelection on August 11. LSK commended Uhuru for also declaring that he respects court’s decision which he does not agree with.

In a press conference on Friday, shortly after the ruling President Uhuru said he disagrees with Supreme Court ruling but will respect it. He has urged Kenyans to maintain peace and shun tribalism.

“I respect the Supreme Court’s decision but I don’t agree with it... Millions of Kenyans queued and voted, but six people have decided that they will go against the will of Kenyans… Again I say, the Court has made its decision and we respect it but we do not agree with it,” said Uhuru who was accompanied by Deputy President William Ruto.

However the LSK, condemned his further attacks towards Judiciary terming the remarks as inappropriate and unconstitutional.

“Further statements by President describing the Chief Justice and other judges of the Supreme Court of Kenya as 'wakora' (crooks or scoundrels) and ominously declaring that they should wait for him after he is successful in the coming fresh elections are unfortunate and wholly inappropriate remarks from the head of state who under the Constitution is a symbol of national unity, enjoys immunity from criminal and civil proceedings and must promote and enhance the unity of the nation.” Said the Law Society in a press statement.

On Saturday, President Uhuru hit out at the Supreme Court questioning the grounds on which his nullification was determined. He threatened to deal with the Judiciary if he will be reelected within the 60 days that Supreme Court ordered the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) to conduct fresh presidential polls.

“Even if you are so stupid, ask yourself something: The people elected an MCA, results were transmitted, and no one asked questions. Those of MPs and senators were transmitted, and no one asked questions and they have been sworn in. Those of governors were transmitted, no one asked questions. Now how do four people and wake up and say there was a technicality in the transmission of the results of the President only? How?” asked Uhuru.

LSK urged President Uhuru to respect, uphold and safeguard the Constitution an obligation which extends to respecting, upholding and safeguarding the rights of the Chief Justice and each of the judges of the Supreme Court of Kenya under Article 28 of the Constitution.

“Those remarks violate this obligation and are condemned unreservedly by the Law Society of Kenya. And they do not in any way lower, in the eyes of their fellow Kenyan citizens, the high esteem in which the Chief Justice and the judges of the Supreme Court of Kenya are now held, “LSK insisted.


baadhi ya watu wanashabikia hili la Kenya ila watafakari wakijua hili ni jipu kwa nchi za Africa na hasa Tanzania.
Wkt mwingine majaji wanatakiwa kuamua kwa maslahi ya taifa kwa ujumla. Kurudia uchaguzi si mchezo, kwanza gharama, pili usalama wa raia n.k.

Pia itakuwa jipu kwa Tanzania kwa wale wanaopenda kuiga wataiga, na hii wakiiga itasababisha uvunjifu wa amani. Democrasia ni nzuri ila wakati mwingine ni mbaya. Democrasia inaweza sababisha machafuko. Angalia nchi zenye utawala wa Kauli zilivyotulia hazifanani na hizi nchi zenye democrasia..mfano korea, china, Uingereza zimetuliaa...Tunaiga wamarekani ila hii itaja kutupeleka pabaya...
 
Tena leo ndio alisema wazi kabisa kuwa kama si kulinda amani wangeliona cha mtema kuni...
Akaendeleo kuwa watu wana vaa magauni halafu wana batilisha matokeo ......

Kwa kweli Kenyatta nilimsifu lakini speach ya leo ameharibu kabisa..........
Alikuwa amepiga ulabu.
Mkuu hapo kwenye kuvaa magauni umenichekesha sana
 
Back
Top Bottom