Recent content by mansoury magram

  1. mansoury magram

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    nilikuwa naisindikiza laki yako dahh aisee yaani salama yangu ni tigopesa network imezingua huu usiku lasivyo
  2. mansoury magram

    Serikali kumwaga ajira za kutosha mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka ujao

    let me ask what are you praising help me see it!
  3. mansoury magram

    Serikali kumwaga ajira za kutosha mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka ujao

    Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu...
  4. mansoury magram

    Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

    dah sio mwepesi sana kucomment ila when it comes to this type of shit that you have posted Mungu akulipe sawasawa na matendo yako kigogo unayejiita mwananchi
  5. mansoury magram

    Je kauli ya "kujimwambafai" inaweza kuleta mmeguko mwingine ndani ya chama?

    brother ndugai alikwambia nini for real you are faking it sio yule wa zamani kila nikisoma unachopost sasa hvi hata kieleweki
  6. mansoury magram

    Pesa binafsi, usimamizi wa pesa, biashara na utajiri

    si mwepesi wa kucomment but ahsante kwa kushare hii gracias!!!
  7. mansoury magram

    Nape Nnauye: Kadri giza linavyoongezeka, ndivyo nuru nayo inavyoongezeka

    Kiukweli nakufuatilia sana unavyopost na ku comment and today its the only day you speak as human being siku nyingine huwa ni kama si mtu kua mpinzani sio dhambi
  8. mansoury magram

    Mzee Mwinyi aliwahi kuvunja Baraza la Mawaziri, mawaziri waliondoka Ikulu kwa miguu kwenda kufungasha wizarani!

    yaaani hiyo pumba uliyo andika hapa imebidi nicomment binafsi ni mkristo lakini daaah usiwadharau waislamuu kiasi hicho sie wote ni watoto wa baba mmoja amri ni moja tuuu UPENDO
  9. mansoury magram

    Kanuni mpya ya mafao kwa wastaafu kupata 25% inayobaki 75 kuunganishwa katika pension ya mwezi

    point of correction ameshasaini tayari hivyo ni sheria tayari nothing to worry go magufuli go ccm go duhhh huyo mfanyakazi tunaemzungumzia hapa mtoto wake hana ajira na anaelimu ya juu amestaafu sasa akitegemea atapata pesa amuwezeshwe na mwanae leo inakuja sheria ya 25% mm nahisi hawana pesa za...
  10. mansoury magram

    Kusoma UDSM ni dhamana

    hao hao waliotoka kwenye huo uhaba wa vifaa ndo wanapata hizo DD kisha wanabaguliwa kwenye hivyo vyuo pedwa hapa kwetu kisha tunawabeza tukijisifia wa UDSM not fair at all inasikitisha kiranja mkuu wa hii nchi ndo anaongiza huu ujinga yeye ndo wa kukemea lakini ndo anazua mijadala ya kijinga...
  11. mansoury magram

    Kusoma UDSM ni dhamana

    ni bora watu wasifie taaluma walioipata apo UDSM kuliko TITLE ya chuo eti mtu ukitaka kuoa ukiwa wa UD unaheshimika hahaha mkuu wa hii nchi nikielezotosha cha hizo product zenu hapo
  12. mansoury magram

    Kusoma UDSM ni dhamana

    mimi nafikiri tatizo sio hilo unalosema ww bali nikutokana naa elimu ya juu haiko sawa kwa vyuo vyote miataala inatofautiana laiti tungekuwa tunafanya pepa moja wote yaani UE kama ilivyo NECTA kusingekuwa na huu ujinga unaendelea hapa tungebaki kusifia majengo ya UDSM nasikingine mbona form four...
  13. mansoury magram

    Kusoma UDSM ni dhamana

    brot duuh mkuu mimi pia nian degree sina ufahulu huo unaoutaja pia sijasoma UD so what does that mean
Back
Top Bottom