mansoury magram
Member
- May 18, 2017
- 99
- 60
mimi nafikiri tatizo sio hilo unalosema ww bali nikutokana naa elimu ya juu haiko sawa kwa vyuo vyote miataala inatofautiana laiti tungekuwa tunafanya pepa moja wote yaani UE kama ilivyo NECTA kusingekuwa na huu ujinga unaendelea hapa tungebaki kusifia majengo ya UDSM nasikingine mbona form four mtu ana three anaenda advance anakomaa anapata div 1 au 2 sasa kwann mtu wa DD asiheshimiwe angekua amefelei basi asingechagulliwaMkuu shida inatokea ni kuwa Vyuo vingine huchagua wanafunzi wenye ufaulu wa chini sana. Mfano DD wakati Udsm huchagua wenye ufaulu wakushangaza. Cha msingi serikali iboreshe elimu kwenye shule huku chini ili wanaopata maksi za juu wawe wengi angalau vyuo vingne vipate hata one za 3