Kusoma UDSM ni dhamana

Kusoma UDSM ni dhamana

Umepiga mule mule
Watu wa st. Nani sijui vichuo gani watamwaga povu sana
 
Chuo ni kweli ina jina na umaarufu na reason kubwa kilichofanya iwe na jina sana ni kutangulia kwake na kweli ni chuo mama lakin kudhan utaajiriwa kisa umaarufu wa chuo na kujitapia chuo kwa zama hizi ambazo mkulima wa nyanya ana degree kwa sasa degree ni kama mafua mkuu sio kama zaman hizo mtu ukiwa na degree lazima utakuwa maarufu wilaya nzima wahitimu wa udsm kama wachache kama ww bado wanaishi karne ya 19 hase sifia lakin sio kwa wasomi wenzako humu labda kwenye vijiwe vya kahawa
 
Kwa kweli umeongea hoja kubwa sana. Ila unadhani kwa nini waliopata ufaulu mdogo O'level wanafanya wonder A' level. Jibu nadhani unalo. Wengi wanatoka Kayumba ambapo huko walikumbwa na jinamizi la uhaba wa vifaa vya kujifunzia na ufundishaji. Hao ndio huwa vipanga wakifika chuoni
hao hao waliotoka kwenye huo uhaba wa vifaa ndo wanapata hizo DD kisha wanabaguliwa kwenye hivyo vyuo pedwa hapa kwetu kisha tunawabeza tukijisifia wa UDSM not fair at all inasikitisha kiranja mkuu wa hii nchi ndo anaongiza huu ujinga yeye ndo wa kukemea lakini ndo anazua mijadala ya kijinga kwenye social media
 
Kuna kitu hakisemwi na hapo ndo mzizi mzima wa haya masuala. Hata mtoa mada amesema. Haimaniishi kama udsm haina wanafunzi vimeo ila walimu huwajaza wanafunzi kujiamini kiasi hujiona hata div au gpa yake iliyosawa au ndogo kwa mwenzake huwa inathamani mara kumi zaidi. Hili linathibitka kwa wanafunzi wengi waliopita pale hata rais huwa anajisifia kusoma udsm. Wao hufanya hata mapungufu yaonekane ubora. Hivi ulishawaza kwamba yule profesa aliyesemwa juzi angekuwa anafundisha saut au St joseph. Ila ukiwa mkuu wa nchi unatakiwa mapenzi yako binafsi yasionekane kirahaisi ila hili limethibitka kuwa limeshindikana na linajenga kujiona duni kwa wanafunzi wengine wanaosoma vyuo vingine hapa nchini


Kweli Mkuu. Hii kasumba inapaswa kufutwa. Sasa ikiwa mkuu wa nchi anajinadi vile unadhani kuna nini hapo
 
Acha kujifariji. Huezi amini. Kuna mwaka NMB walitangaza nafasi za kazi na sifa ya kwanza ilikuwa, lazima uwe umesoma IFM! I couldnt believe my eyes. Wanafunzi wa IFM walionekana ku shine NMB kuliko wale wa vyuo vingine!


Neno kuna mwaka tupatie tafsiri yake
 
Ni kweli Udsm ni chuo bora na elimu yake ni ngumu sana so hata ukimaliza na gpa ndogo huwez kosa kazi coz chuo kinaaminiwa. Graduates wake ndo wa daraja la juu kwa kila course nchi hii. Mwanafunzi wa udsm anasifa za kusoma chuo chochote Tanzania ila sio kila mwanafunzi wa chuo kingine anaweza kusoma udsm.


Fact,
 
Nilifanya interview na graduate 8 wa UDSM matokeo ni kwamba nilikua the best ..sijasoma hio UDSM yako.


Wakati wewe unajua walikuwepo Udsm 8, unadhani hao Udsm walijua wewe unatoka chuo gani. Hiyo inatosha kuelezea post yako
 
Naona vijana wa Udsm mnaringa kwa sababu mkuu wa nchi yupo dar na chuo kikubwa cha kukitembelea ni udsm kwa sasa.

Ila Mara atakapo ng'oa nanga na kuelekea makao makuu tutawasahau na promo zote zitaisha .....tutaanza kuisikia UDOM ........binafsi nimesoma technical college na Nina GPA not less than 4.3 ila sitaki kwenda udsm naona kama nitaenda kubeba nuksi tu pale.

Engineering za pale kiukweli ni mbovu haijawahi tokea.

Mimi Binafsi sina kinyongo ila siikubali UDSM


Udsm ilianza kabla wewe na hata pengine mama yako hajazaliwa. Jipe moyo hapo eti promo zitaisha.
 
Wewe kama mimi nimepiga ARU
Niliwafyekelea mbali wote kwenye interview,am proud ARU product
Na gpa inasoma vilevile
Na soon naenda kuwanoa madogo zao hapohapo Ud kwao
If you know you know


Karibu Udsm na GPA yako utolewe baru na vijana wa mwaka wa kwanza
 
Nadharau sana MTU ambae analeta ushabiki wa vyuo eti kwasababu ya umaarufu ......

Udsm ya 80s na 90s huko sawa not this current udsm..imebaki legacy in fact ni moja ya chuo vya ovyo sana..kuja kasumba MTU akisoma udsm anajiona tayari he /she is very bright.

Watanzania inabidi mjue kwa dunia hasa in our country what you get from class is soooo little.. Unatakiwa kujiongeza through books,experience na matumizi mazuri ya mitandao ukikaa na ur primitive ideas za "nimesoma udsm " u ain't going nowhere
 
Nilivyokuwa Mdogo nikuwa nawaza hivi, toka nimekuwa Mkubwa nimegundua kusoma UD sio sifa tena.
 
Back
Top Bottom