Maamuzi ni mazuri ya kuvunja CDA..Walachia wa Dodoma wanajua madudu ya hawa jamaa walichowafanya walikua miungu mtu...pia tunashukuru kwa mazuri waliyofanya,ila imetosha
CDA walikua mafather kweli kweli...bora manispaa,hawa jamaa wameumiza maelfu ya wananchi,former presidaa jk alichemka kuivunja ingawa malamiko alipeleweka,war wa ardhi wa sasa atakua ameumia kweli,mmoja aliokua anaikingia kifua CDA,ni mmoja wa wanabodi...maamuzi aliyofanya rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.