Dodoma mitaa ipi ya kujidai?

Dodoma mitaa ipi ya kujidai?

Habari za jioni wana jukwaa nimefikaa dodoma jioni hii kwaio nilikua na uliza Kwa wale wenyeji kuwa niingie mitaa ipi ili nami nifurahie kama mwanaume halisi
Screenshot_20171124-212353.png
 
Habari za jioni wana jukwaa nimefikaa dodoma jioni hii kwaio nilikua na uliza Kwa wale wenyeji kuwa niingie mitaa ipi ili nami nifurahie kama mwanaume halisi
Inategemea we ni mtu wa aina gani kwa wadhifa wako..upo na usafiri wako au utatumia usafiri wa bajaji au tax..ila kuanzia kesho ndio shangwe zinaanza..kwanza wajanja tunaenda festival ya nyama vyeyula kula mbuzi..mwambie mtu akuelekeze kama upo na private car kama upo na usafiri wa kawaida sio kesi kwenye coaster adi mnadani..kula nyama adi saa moja..ukigeuka nenda capetown kunywa beer mbili tatu then chomoka na bajaji au boda adi malaika kula rost ya kuku na beer then amua kama unaendelea au unarudi kulala..kama utaki kulala unachagua unapenda live band au mziki..kama wa live band me sina direction yake ila kama wa mziki ingia ngalawa pub pale nje ya club seven kula vitu ukiwa unasubiria mida ya saa saba club iive ukaburudike na marijali wenzio..mida ya saa tisa kama una ela panda dau na mtt wa kike kajilie adi jumapili..then amkia swimming pool st gasper au morena..enjoy your stay bro.huu ni mji wa ngono..ata kama sio mtu wa ivyo ukija dom kwa jinsi kulivyo na madem wakali utapagawa mwenyewe..
 
Back
Top Bottom