Izo Auditing firms ni online. Search website zao uangalie kama kuna izo nafasi. PWC ilikuepo ila ishafungwa nadhani. Saa ivi ipo graduate programm. Ila kama alivosema Mtazanyika...GPA above four na Above B za maths na english secondary school ndio japo utaingia kwenye shortlst yao.
Kwa hali ilivo sidhani. Maana wao ata wakishadesign tu project unaskia SOLD OUT. Izi apa victoria zimejaa cnc wanamimina first floor. Kuna watu wana hela mkuu. Labda tusubiri wenye hela watosheke ndio tusogeze pua.
Juzi nlibahatika kukutana na one of the bosses wa FNB anahold cheo cha Udirector. Nkajiongelesha kwake kuhusu hii kitu but responce yake ni kama hakuna hizi nafasi. Alinijibu tu "umeona wapi izo posts? Nkamuambia akasema hayaa we tuma.nkamwambia mbona emails zinabounce?akanijibu we tuma"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.