Nafasi za kazi FNB Bank

Nafasi za kazi FNB Bank

Mkuu hii haina uhakika sn, uhakika ni ems au register ambazo ni gharama na kumbuka mtu anafanya application nyingi kadri awezavyo, email zinaokoa kwakweli
Kuna nafasi za kazi unaweza ukatumia gharama kuomba lakini si za benki., kazi za benki kupata siyo kirahisi rahisi kama mnavyofikiria hasa benki kubwa kubwa.
 
magufuli aingilie kati uajili bado pabovu sana uhakika wa nafasi kutokujazwa na watu wao ni mkubwa sana tunaomba ila imani ndogo
 
Juzi nlibahatika kukutana na one of the bosses wa FNB anahold cheo cha Udirector. Nkajiongelesha kwake kuhusu hii kitu but responce yake ni kama hakuna hizi nafasi. Alinijibu tu "umeona wapi izo posts? Nkamuambia akasema hayaa we tuma.nkamwambia mbona emails zinabounce?akanijibu we tuma" Nkaconclude labda hili tangazo ni uzushi. Ila siwakatishi tamaa wakuu, mm pia mhanga wa ajira so tukazane kuresend tu. Atakaefanikiwa atushtue kwa mda huo na wengine tujaribu bahati zetu.
 
Kwa mara ya kwanza niliwaona kwenye maonesho ya nane nane banda lao lilikuwa karibu na banda letu sikuwa nimewahi kuwasikia wala kuwaona
 
First National Bank Tanzania (FNB)
JOB OPPORTUNITY

1. External Sales
2. Frontline Coordinator
3. Coordinator Teller
4. Home Loan Consultant
5. Branch Administration Manager
6. External Sales Team Leader
7. Teller
8. Customer Sales and Service Representative
9. Premier Banking -CSSR
10. Catchment Head
11. Home Loan Consultant

How to apply: Send your CV and copy of certificates to

First National Bank Tanzania,(FNB) House, Ohio Street.
P.O.Box 72290, Dar es Salaam, Tanzania.
Email:rmassasi@fnb.co.tz

The Closing date for applications is 28th march 2016
Only shortlisted candidates will be contacted.

FNB is an equal opportunity employer

Source: The Guardian 18th March 2016
mbona hapo tarehe ni 18 march ndo closing date hvy imeshapita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom