National housing haina faida kwa wa Tanzania 90%

Lenatuschacha

Senior Member
Jul 29, 2015
156
36
Mimi siku moja nilikuwa nasikiliza kipindi national housing wanasema wataka kujenga nyumba za watu maskini lakini cha ajabu eti nyumba hizo bei yake ni kuanzia million 70 sasa nikajiuliza watu maskini gani hao wanalengwa hata wafanyakazi wa serikali walio wengi hawawezi kumdu hiyo bei mfano Madaktari, askari, waalimu n.k. Mimi naona serikali ya JPM iliangalie hili upya ili wanainchi wote na wakipato cha chini wanufaike.
 
Tatizo hawa wakurugenzi wakilipwa mishahara mikubwa wanachukulia watanzania wote tuko sawa nilishasema ni bora wakabadili jina likaitwa shirika la nyumba la wahindi tanzania
 
Tatizo sio NHC pekee isipokua na serikali yetu inahusika kwa kutoza kodi ya VAT kwenye hizo nyumba. Siku watakapoindoa hiyo kodi basi walau inaweza kushuka kwa kiwango kikubwa ila haiwezi kuuzwa kwa milioni 10!! Labda kuanzia 30, 40 na kuendelea.
 
Tatizo hawa wakurugenzi wakilipwa mishahara mikubwa wanachukulia watanzania wote tuko sawa nilishasema ni bora wakabadili jina likaitwa shirika la nyumba la wahindi tanzania
Hata mtumishi wa serikali seniour hawezi kuafford hizi nyumba bila kuiba!
Hili ni jipu sugu
Hata majina ya wapangaji wao majina wao Ni Rakesh ,Prashant,Dewiji,Gulamali ,Sing,Gulkamal
Ukweli kabisa.. hili nalo jipu
 
Tatizo sio NHC pekee isipokua na serikali yetu inahusika kwa kutoza kodi ya VAT kwenye hizo nyumba. Siku watakapoindoa hiyo kodi basi walau inaweza kushuka kwa kiwango kikubwa ila haiwezi kuuzwa kwa milioni 10!! Labda kuanzia 30, 40 na kuendelea.
Hata iyo mil40 bado ni kubwa sugu alisema bungeni kuwa walienda malesia kule shirika lao linajenga nyumba za kisasa ni zinauzwa kwa sh mil 20 mpaka 25 kwa wananchi sasa sisi nini kinatushinda kuuza kwa bei iyo? Hili shirika ni la hovyohovyo halimsaidii mwananchi ni upuuzi mtupu waafrica akili zipo miguuni hawfikirii hapa lengo lilikua ni kumpatia ahueni ya maisha mtu wa chini na wa Kati lkn izo nyumba wala hazimsaidii uyo mlengwa watu wanajilipa mishahara mikubwa wanasahau kuwa wengine uwo mshahara wake wa mwezi anaojilipa,mtumishi mwingine ni nshahara wake wa miaka 10 au kustaafu ndio an apata km kiuunua mgongo
 
Mimi siku moja nilikuwa nasikiliza kipindi national housing wanasema wataka kujenga nyumba za watu maskini lakini cha ajabu eti nyumba hizo bei yake ni kuanzia million 70 sasa nikajiuliza watu maskini gani hao wanalengwa hata wafanyakazi wa serikali walio wengi hawawezi kumdu hiyo bei mfano Madaktari, askari, waalimu n.k. Mimi naona serikali ya JPM iliangalie hili upya ili wanainchi wote na wakipato cha chini wanufaike.
Hawa jamaa wanachekesha sana
 
Tatizo sio NHC pekee isipokua na serikali yetu inahusika kwa kutoza kodi ya VAT kwenye hizo nyumba. Siku watakapoindoa hiyo kodi basi walau inaweza kushuka kwa kiwango kikubwa ila haiwezi kuuzwa kwa milioni 10!! Labda kuanzia 30, 40 na kuendelea.
Kila kitu mnataka kiondolewe VAT. Hizo hela kuendeshea serikali zitatoka wapi? Kama vifaa vya shule na madawa yana VAT, ndio iwe nyumba.
NHC wasisingizie VAT wapunguze gharama za ujenzi. Period.
 
Back
Top Bottom