Recent content by MANJANGO

  1. M

    Nyie 'wala wake za watu'

    Haya mambo yapo toka enzi na enzi na hayakuleta matatizo lakini sasahivi vijana mafriji hayagandishi na ndio kinachowatia hasira wagongewaji. Tisaidianae lakini tusitiriane😜
  2. M

    FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

    Uzuri hata sisi tushatoa gwara nyingi tu ikiwemo kwa ndugu zetu uto🐸. Ukiangalia Vipers aliewatesa Uto anavyopata tabu huku kwenye mashindano ya wakubwa utajua kabisa nyie bado!
  3. M

    Sisi Simba SC na wachambuzi uchwara tumemponza Fei Toto

    Simba tena??😲😲 Fei toto anajua anachokitaka, afterall mashabiki maandazi wa Yanga waliimba uwanja mzima hawamtaki Fei toto baada ya kurise complain juu ya maslahi yake(possibly hili ndilo lilimfanya akwazike zaidi). Fei hayumbishwi na propaganda zenu za kuonekana sijui kimataifa, anajua fika...
  4. M

    FT|| Horoya AC 1-0 Simba SC | CAF Champions League | Stade General Lansana Conte | 11.02.2023

    Mechi muhimu sana kwetu...Ukiangalia ubora wa timu zote kwenye hili kundi utagundua hawa ndio wenye nafasi yetu ya kufuzu. Raja yeye ana asilimia kubwa ya kusonga hatua nyingine kwa kuzingatia ubora wake lakini pia matokea aliyopata leo yanadhihirisha wao ni wakubwa. Mwingine ni kati ya...
  5. M

    Mara ya mwisho umetumia kondomu lini?

    Mimi kila nikiangalia bodaboda wanavyolala na kona wanavyovyochomekea magari nasemaga kimomoyo huyu hawezi kuvaa kondomu kama, haogopi kifo cha kupasukapasuka dakika mbili au tatu mbele hawezi kuogopa UKIMWI wenye ARVs.
  6. M

    Nampenda huyu dada lakini huu ni mwaka sasa hakuna majibu

    Wachana nae! It is either ana mahusiano mengine na yana afya nzuri au ameshakuevaluate akaona hutamu-afford. Mapenzi nikubeba yule unamuemmudu wachana na story za zali la mentali, ule ni wimbo tu.
  7. M

    Mke wangu ananipa wakati mgumu

    Sasa mwanamke kuliwa ndio kitu inakufanya unakuja uku mbiombio ukihema?? Kashàakwaambia ni utani..wee chukulia ni utani kweli alafu fanya research taratiiiiiibu huku ukiendelea kuenjoy maisha na "mai" wako. Ukijakugundua anachepuka kweli tafuta naww mahala(mchepuko) piga kambi ukiona panakufaa...
  8. M

    Mgeni mwalikwa Mkutano Mkuu wa CCM kuita CCM 'Chama cha Mambuzi' ni kwa bahati mbaya au kweli?

    Kasema chama cha ma.vuz* which is VERI VERI TRUUU ..acheni kupotosha.
  9. M

    Ebu ona huyu mwanaume wa Kichaga anavyoitafuta laana kutoka kwa mkewe!

    Acha baba wa wawatu apate tulizo la nafsi nyumba zina siri nzito. Ila marejesho alipe maana vingineyo utakua utapeli
  10. M

    Ebu ona huyu mwanaume wa Kichaga anavyoitafuta laana kutoka kwa mkewe!

    Kwenye uchumi kuna kitu tunaita pareto effienciency. You reach a point you can not make one better off without causing other one worse off. Kwani huyo mwanamke wa Kizaramo yeye hataki maisha mazuri, mbona hamuoni hilo.
  11. M

    Usaili wa Utumishi: Kipi kilikufanya ufaulu au ulikosea wapi?

    Kwakweli mimi sio muongeaji sana, ni aina ya watu ambao hua wanachoka na kupoteza umakini wanapohojiwa kwa zaidi ya dakika 15. Nondo nnazo ila pumzi inakata mapema naaza kujibu ovyo😄. Kikubwa saiv nafuga zangu mbuzi katoliki 🐖. hawa hawahitaji wapiga domo ni chakula, maji, dawa usafi bhaaasi...
  12. M

    Maswali 10 yanayoulizwa kwenye Usahili

    Hata mkijibu vizuri kwenye interview mko 50 nafasi za kazi ni 3 itasaidia nini?
  13. M

    Wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu waongoze kudai mabadiliko / mageuzi

    Ubinafsi unatutafuna hata huyo hoehae mtaani anafamilia inamsubiri alete unga jioni na dagaa. Nani huyo hana kabisa cha kupoteza in real sense?
  14. M

    Yanga ina bahati ya kukutana na timu ngumu ngumu

    Unataka kujua kwanini Yanga amekutana na Al Hilal(timu ngumu) na Simba akapewa De Agosto ambao ni wepesi??? Iko hivi, Kwenye hizi round za kwanza timu kubwa hukutana na timu ndogo. Huwezi kuona Al Ahly akipangwa na Wydad au RS Berkane Vs Simba au Mamelod Vs Mazembe. Ni mkubwa Agaist mdogo. Na...
Back
Top Bottom