ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,568
- 44,780
Roho wa bwana ananiambia kwamba siku hizi mnajisahau sana kuvaa kinga shida nini jamani mtakufa vibaya dogs nyie mkilewa kilimanjaro huko mnaingiliana kavukavu ina maana hamuogopi tena maradhi mnajitoa ufahamu mnajichetua pombe zinawafanya mnajisahau sana ns madanga hao mnaowapata wanapenda kugawa rectum na wanaume tunaongoza kuogopa kwenda kupima wanawake wanapina sana kwenye uzazi wa mpango au kliniki huko ukimpeleka mtoto au ukishika mimba lazima upimwe.af cha ajabu wanaume hata ukiwaambia fulani anameza vidonge bado anajipeleka kwa huyohuyo karibuni kwetu kibo bar masasi.