Recent content by Mangungo II

  1. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Daktari anayedaiwa kumpiga trafiki aachiwa kwa dhamana

    We inshomiles. We inshomilize anybody
  2. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Zambia: Mpinzani wa Hichilema ashikiliwa kwa tuhuma za uhaini

    Miafrika ndivyo tulivyo.
  3. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Ray Kigosi atangaza kupata mtoto wa pili akiwa Bado anaishi kwao

    Ray Hana miaka 42 bhana. Ray ni KIJEBA cha Kale. Ray anaigiza Mimi Niko shule msingi Leo Mimi na approach 40 nimebakiza miaka michache sana eti Ray leo ana miaka 42 acha utani bhana bhana Ray Yuko btewet 48-52
  4. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Je, kutatokea nini Lissu akihukumiwa kunyongwa hadi kufa?

    Wanampotezea muda tu. They know they can't kufika huko. Just kukurukakara tu za hapa na pale. Wanajipotezea muda na wao. They can do more important things than dealing with typical mumbojumbo case
  5. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania KERO Kwenu Tanesco: Tangu jana nimeshindwa kununua umeme, hela imekatwa ila sijapata Token

    Tanesco na NMB mnatutesa sana hatuwezi nunua umeme na unit zimeisha Walionunua hawajapa Token Hadi leo
  6. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Leta Laptop mbovu nanunua

    Tunanunua buku 30 sio ufala huu
  7. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    :ALERTA::ALERTA:
  8. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Siku nilipogundua kukesha club si sawa kwangu

    Kuparty Huwa napari one at a time. Masanga napiga ila sio mlevi-mbwa, sio mlevi,sio mnywaji najihesabia Mimi MUONJAJI tu nashukuru sijatopea huko. Nashukuru tangu ujana nakua sijawahi vuta FEGI Wala MSUBA. washikaji wengi walizipiga hizi kitu ila Mimi nilikuwa pale nawazoom tu. Nilishawahi...
  9. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania CAF yakataa pendekezo la Misri kuongeza Klabu za Ligi ya Mabingwa Afrika

    Mnaona wanavyocheza Rafu soka la Africa. Wakifanyiwa rafu huko duniani wasilielie
  10. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania HOJA Walimu na Uongozi wa Diamond Primary School wametoa Wapi haki ya kuwanyang'anya watoto wetu mabegi ya shule na kuwatenga madarasani?!

    Nenda kalipa ada bana usitupigie kelele hapa. Hutaki mwanao akae nyuma ndio unataka mtoto wa nani akae huko nyuma. Nyie ndio wale Wazazi wapumbavu pumbavu kutwa kucha kulalama Kwa Sababu za kijinga. Mtoto umezaa mwenyewe Tabu uwaletee wengine Kalipe ada bhana
  11. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Nimefika mwisho wa kufikiri.... Nifanyeje? Naomba msaada wako

    Achana na hio biashara ya Mpesa kwanza jaribu biashara zingine. Ukirudi huko kwenye Mpesa utakutana na Yaleyale. Cycle itakuwa ni Ile Ile Matatizo Yaleyale,mtu yule yule,
Back
Top Bottom