Recent content by Mangungo II

  1. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania TANESCO LUKU TOKEN

    Tanesco na NMB mnatutesa sana hatuwezi nunua umeme na unit zimeisha Walionunua hawajapa Token Hadi leo
  2. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Leta Laptop mbovu nanunua

    Tunanunua buku 30 sio ufala huu
  3. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    :ALERTA::ALERTA:
  4. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Siku nilipogundua kukesha club si sawa kwangu

    Kuparty Huwa napari one at a time. Masanga napiga ila sio mlevi-mbwa, sio mlevi,sio mnywaji najihesabia Mimi MUONJAJI tu nashukuru sijatopea huko. Nashukuru tangu ujana nakua sijawahi vuta FEGI Wala MSUBA. washikaji wengi walizipiga hizi kitu ila Mimi nilikuwa pale nawazoom tu. Nilishawahi...
  5. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania CAF yakataa pendekezo la Misri kuongeza Klabu za Ligi ya Mabingwa Afrika

    Mnaona wanavyocheza Rafu soka la Africa. Wakifanyiwa rafu huko duniani wasilielie
  6. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania HOJA Walimu na Uongozi wa Diamond Primary School wametoa Wapi haki ya kuwanyang'anya watoto wetu mabegi ya shule na kuwatenga madarasani?!

    Nenda kalipa ada bana usitupigie kelele hapa. Hutaki mwanao akae nyuma ndio unataka mtoto wa nani akae huko nyuma. Nyie ndio wale Wazazi wapumbavu pumbavu kutwa kucha kulalama Kwa Sababu za kijinga. Mtoto umezaa mwenyewe Tabu uwaletee wengine Kalipe ada bhana
  7. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Nimefika mwisho wa kufikiri.... Nifanyeje? Naomba msaada wako

    Achana na hio biashara ya Mpesa kwanza jaribu biashara zingine. Ukirudi huko kwenye Mpesa utakutana na Yaleyale. Cycle itakuwa ni Ile Ile Matatizo Yaleyale,mtu yule yule,
  8. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Usafiri wa Treni ya Abiria Dar Hadi Arusha na Treni ya mizigo toka Tanga ndo basi tena

    Tukipata SGR DAR Arusha itakuwa unyama sana
  9. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Kosa Hili Liliwagarimu Samsung, Google Pixel Wakawapiga Bao

    Wa Sony EXPERIA wanawazoon tu
  10. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Mdogo wetu kaacha ualimu kisa amepata mshangazi

    Mnajipa PRESHA ZA BURE kufatilia maisha ya mtu mzima. Endeleeni na Mitikasi yenu. Si Bora mmesikia Yuko Kwa mwanamke. Angekuwa Kwa mwanaume je si ukoo mzima mngekufa Kwa presha. Achanani nae nyie fanyeni maisha yenu
  11. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Sasa najitunza DIY ya furnature na welding kwaajili ya matumizi ya nyumbani

    Tumia app ya PINTEREST Kupata ideas ya vitu unavyotaka kutengeneza
  12. Mangungo II

    JamiiForums Tanzania Bwana Misosi akiwa bado underground aliwezaje kuwapata wasanii wakubwa walioonekana katika video yake "Nitoke vipi?"

    A Mzee TAMBAZA na Kijiji chake pale Pembeni ga DON BOSCO. Madenti wengi wa TAMBAZA, AZANIA ,na Muhas wamejaa sana pale.
Back
Top Bottom