Recent content by Mangungo II

  1. Mangungo II

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Daaah!!😂KUKAKAKE!!!
  2. Mangungo II

    Kuhusu nafasi ya urais wa Tanzania 2030-2040 tayari CCM tunae kiongozi

    Mgaso Hana miaka mingi dunia ni mzee wa miaka 70+ hawezi affordd kungoja miaka 10 Kusubiria kijana ashike hatamu. PPotential wote wametolewa kwenye mizani yakumzuia dogo. Ruksa Jr kapewa urojo miaka 10 Guyz guyz kapewa u-Mp Obama wannabe katolewa ulingo kupozwa makali. Siongi mwengine wa...
  3. Mangungo II

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    GwajiGirl na GwajiBoy wote ni GwajiFiksi sijui ni nani aliwaambia muwaamini
  4. Mangungo II

    Ni Bahati Mbaya Wengi Hawajui Utimizo wa Unabii wa Biblia Kuhusu Matukio ya Dunia, Mfano hii Vita-Iran

    Umebase zaidi kwenye propaganda. Umelipwa na WAZAYUNI(ZIONIST)!? Mimi ni Mkristo ila Wazayuni ni mashetani.
  5. Mangungo II

    Ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni?

    Hata kwenye msiba nenda siku wanazika then Sepa
  6. Mangungo II

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Infinix na Tecno niliwaacha sababu Wana stack.
  7. Mangungo II

    Dogo ana Division 1.7; Mambo ya computer aende chuo gani?

    Achana na DIT nimesoma hapo pamekaa kizembe. Mpelekeni UDSM pale Akaanze certificate (Computing center pale)
  8. Mangungo II

    Hapa Tanzania 50% ya wavulana wenye miaka 20 hawajahi kufanya mapenzi, lakini kwa wasichana wenye umri huo ni 1% tu

    Inawezekana kweli Nilikula mzigo first time Niko 21. Baada ya hapo ni mbele kwa mbele
  9. Mangungo II

    KERO TTCL Fiber Kimara Temboni tumedhulumiwa pesa zetu

    Niliwazia kitaa wakati wanapita pita hapa na pale. Fasta nikawaita wamefunga kwangu so far Iko vizuri sema Ina katakata sana
  10. Mangungo II

    Salma Kikwete: Jimbo langu la Mchinga halina Stendi hata moja

    Si mshua alikuwepo hatamuni miaka 10. 😆😆
  11. Mangungo II

    Nyaraka za Siri za Epstein: Kisiwa cha Mnemba kama 'Uchochoro' nchini Tanzania

    Hakuna cha HARD WORK Wala nini !!, watu ni WACHAWI!!!
  12. Mangungo II

    Prof. Tibaijuka: Nilipendekeza iundwe Tume ya Kijaji, ingepunguza kelele za ICC kuliko tume ya Rais matukio ya Oktoba 29, 2025

    Anaweza kuwa sawa! Pia anaweza kuwa AGENT PROVOCATEUR. Double Agent. INSTIGATOR.. SPECIAL MISSION
Back
Top Bottom