Kuparty Huwa napari one at a time.
Masanga napiga ila sio mlevi-mbwa, sio mlevi,sio mnywaji najihesabia Mimi MUONJAJI tu nashukuru sijatopea huko.
Nashukuru tangu ujana nakua sijawahi vuta FEGI Wala MSUBA. washikaji wengi walizipiga hizi kitu ila Mimi nilikuwa pale nawazoom tu.
Nilishawahi...
Nenda kalipa ada bana usitupigie kelele hapa.
Hutaki mwanao akae nyuma ndio unataka mtoto wa nani akae huko nyuma.
Nyie ndio wale Wazazi wapumbavu pumbavu kutwa kucha kulalama Kwa Sababu za kijinga.
Mtoto umezaa mwenyewe Tabu uwaletee wengine
Kalipe ada bhana
Achana na hio biashara ya Mpesa kwanza jaribu biashara zingine.
Ukirudi huko kwenye Mpesa utakutana na Yaleyale. Cycle itakuwa ni Ile Ile
Matatizo Yaleyale,mtu yule yule,
Mnajipa PRESHA ZA BURE kufatilia maisha ya mtu mzima.
Endeleeni na Mitikasi yenu.
Si Bora mmesikia Yuko Kwa mwanamke.
Angekuwa Kwa mwanaume je si ukoo mzima mngekufa Kwa presha.
Achanani nae nyie fanyeni maisha yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.