Recent content by mangoa

  1. M

    Jamani kuna kumbe kuna waathirika hewa?

    Jana nilipata nafasi ya kutembelea wenzentu kule goms japo kuwapa pole,ktk pita pita zangu na kukaa vijiweni niliambulia vitu vingi sn mana kuna watu wanadai wameunguliwa na radio,tv,nguo mpk za watoto wakati walikuwa hata awakahi umo ndani mfn kuna jamaa mmoja yeye nimesikia ni mjeshi msataafu...
  2. M

    Tangu Mabomu ya Goms Umeme Haujawahi Kukatika Huku Kwetu

    upende usipende yeye ni mhe waziri mkuu mstahafu km salim,msuya,kawawa,warioba nk anapewa ulinzi popotd alipo na staili zake zipo pale pale alingatuka akungatulia.nadhani tatizo lenu lilikuwa uwaziri mkuu ukweli.
  3. M

    Zitto apendekeza Dowans itaifishwe; Serikali yapinga! Mgao waendelea...

    te te te unadhani watu wote wanatumia simu za toch km wewe najua zito atakuwa anakupata kupitia kiganjani mi nakupata kupitia my nokia x6 36 gb te te
  4. M

    Zitto apendekeza Dowans itaifishwe; Serikali yapinga! Mgao waendelea...

    kamanda kwa kweli kuna watu wamekaa kiuchonganishi,pole kwa kuuguza ushauri oa mama apate mkamwana wa kumuuguza
  5. M

    Msaada, msaada tafadhali magufuli

    Upuuzi mtupu,angekuwa na washabiki wengi hivyo wangempa kura. . Washabiki wake mateja,madereva wa toyo,daladala,taxe,wapiga debe,
  6. M

    Waziri John Magufuli hili la kuvunja jengo la TANESCO Ubungo tumia busara

    jamani magufuli atawali kwa kufuata sheria na katiba yake anafuata sheria na katiba ya Jtz,na aliapa kuuheshimu na kuitii,tatizo watanzania mnapenda mtu awe magumashi akifuata sheria mwamuona . .
  7. M

    Je ni kweli chadema ni chama cha kindugu

    Ndugu zangu nimesikia makelele makeleld kuwa cdm ni chama cha kikabila na kidugu anae jua nani ni ndugu na nani pls tujuze
  8. M

    Msafara wa raisi ukiwa na ambulance maana yake nini?

    Tuache ushabiki wa kitoto,msafara wa rais wa marekani,unampaka hosptali yenye uwezo wa operesheni na madk bigwa wapo tayari kwa lolote,watazania tukumbuke rais wa nchi ni mtu mkubwa sn,ndio mana baba mwenye nyumba analala master bdroom ata kama vyumba vyote vina choo,bafu nk aviwezi kuwa sw na...
  9. M

    Makinda amepewa escot ya polisi?

    Ufujaji wa nini,hv unajua hata ww ukiwa na jambo lako la dharura ,kwa mfano uko post unatakiwa kwenda tegeta unapita kwa rto unamweleza unapatiwa swipa jaribu siku 1 utaona.
  10. M

    Tofauti: January Makamba, Ridhiwani Kikwete na Vijana wa Kitanzania. Similarities?

    Jerry silaa ni mtoto wa maafisa polisi wawili,sio mtoto wa fisadi kwa ninavyoijua familia yake baba yake anaitwa capt william silaa alikuwa rubani wa ndege za police,mama yake rose alikuwa afisa wa police japo ameshatangulia mbele za haki,ni mtoto wa 4 na wa mwisho ktk familia yao,kuna fredx,dr...
  11. M

    Makinda amepewa escot ya polisi?

    nadhani ndugu zangu kuna ki2 tunajadiliana bila kujua tunachojadili,umeona akiwa na swipa au escort?swipa ni pikipiki inayotangulia mbele kuashiria watumiaji wengine wa barabara waache kuitumia,escort ni gari la walinzi ambalo wanaweza kuwa maafisa usalama wa police,jeshi,au tiss.wanaostaili n...
  12. M

    Chatanda azua tena mvutano CCM, Chadema Arusha

    kaka ansante ndo mwenyewe mwanamkea anajina zuri ila roho,tabia na matendo hata shetani anaafadhali.1:malaya,makamba ktb ccm taifa,semi kiondo ktb mwenezi arusha mjini,felex mrema,na huko korogwe kamnyanganya mume wa m2.ndie aliyekuwa kiongozi wa kuakikisha ccm inashindwa arusha na alilipwa na...
  13. M

    Waziri mkuu awachambua CHADEMA; Lema amtuhumu kudanganya

    sijashangaa kabisa nilijua siku moja haya yatatokea,ndo mana napendekeza ktk katiba mpya kwenye sifa za mbunge kiongezwe kifungu cha elimu isiwe japo degree 1,ili kuepusha kila mtanzania,mwenye miaka 18,anayejua kusoma na kuandika anaweza kuwa mbunge mwisho tunapata form 2 km lema.
  14. M

    Ugonjwa wa Gauti(Gout): Chanzo, Dalili na Tiba yake

    Naomba kuzijua dalili na tiba za ugonjwa wa gauti. ---------------Michango kutoka kwa wadau------------------ MziziMkavu anasema, Gauti (Gout) ni aina ya ugonjwa unaoathiri viungo vya mwili unaosababishwa na kuwepo kwa kiasi kikubwa kuliko kawaida cha tindikali ya Urea (uric acid) katika...
  15. M

    Nipokeeni wa jf

    Naomba mnipokee wana jf wenzangu,napenda tuwe tunasaidiana wa kupeana taarifa zenye ukweli ,sina itakadi ya dini japo ni mkirsto,sina chama.
Back
Top Bottom