Japan na Tanzania wapi na wapi bwana/bi? NI kama kumlinganisha JK na JKN.Wahandisi, wakandarasi, wapima, wasanifu na wachoraji inabidi wafikirie nje ya boksi waje na kitu kama hiki ili kuokoa hayo majengo na barabara ya Morogoro, hasa kwa wale wanaopendekeza kujengwe makutano ya juu (flyover) ubungo. Angalia hizi picha ya barabara na michepuko yake iliojengwa nchini Japan. Baada ya hapo mshaurini Waziri wa Ujenzi afanye nini?
Na majirani zetu nao suala ni hilo hilo.
http://architecturekenya.com/2011/0...-in-bid-to-expand-city-highway-by-dave-opiyo/
http://allafrica.com/stories/201101170458.html