Recent content by Mangare100

  1. Mangare100

    Rais Magufuli amteua Balozi John William Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

    Ombeni Sefue kapigwa chini Ukatibu Mkuu Kiongozi, nafasi yake imechukuliwa na Dr. John Kijazi. L
  2. Mangare100

    Tiba kwa wenye maumivu wakati wa hedhi

    Umsaidie au unatangaza pedi? Na pedi zina uhusiano gani na maumivu? Watu wengine bana mnakurupukaga, lipia tangazo. Nyooo
  3. Mangare100

    Watanzania tumjulie hali Mr Nice

    Hii leo kapost kwenye page yake ya facebook yuko kwao Rombo
  4. Mangare100

    Binti yake Raila Odinga aiomba msamaha Tanzania

    Tatizo wizara ya mali asili na Utalii haitangazi Tanzania na vivutio vilivyopo Tanzania. Ila pia ni mjinga pekee ndio atakayeamini Kuwa mlima kilimanjaro uko kenya au hiyo Oldvai mzungu kabla hajaa sehemu anaserch kwanza kwenye Google na kusoma kila kitu. Wakenye wana usemi wao wanasema...
  5. Mangare100

    Dira watakiwa kumuomba radhi Ombeni Sefue

    JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA IDARA YA HABARI - MAELEZO P.O. Box 8031, Dar es Salaam, Tel: 2110585, 2122771/3, Fax: 2113814, e-mail: maelezo@habari.go.tz Tarehe: 01/03/2016 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Gazeti la Dira ya Mtanzania, Toleo...
  6. Mangare100

    Mbowe: Magufuli pambana na wauza gongo Kilimanjaro

    Kila kitu afanye rais si kuna wakuu wa wilaya na mikoa kwa kushirikiana na polisi wana kazi gani? Japokuwa itachukua muda sana kumaliza tatizo la gongo/ pombe haramu mkoa wa kilimanjaro hasa Rombo.
  7. Mangare100

    Dangote yaanza kusambaza cement Tanzania

    Tulitegemea hiki kiwanda cha Dangote cement iwe nafuu kuliko cement nyingine ila sioni tofauti yotote hiyo bei ya 13500 ndio bei tunayonunulia cement nyingine kwa sasa hapa dar. Kulikuwa na tetesi mwanzo kuwa alitaka auze rahisi ila akaambiwa ataua viwanda vingine vya cement mwenye taarifa...
  8. Mangare100

    WHATSAPP HAIPOKEI UJUMBE

    Hata mimi na tatizo hilo cm yangu mwanzo nilikuwa naweza kupiga au kupokea cm Za whatsup ila sasa hivi inaniambia mpaka niconnect na wifi.
  9. Mangare100

    Kukosekana mita kwa ajili ya kuunganishiwa umeme wa Tanesco

    Tanesco ni wasumbufu sana. Me simtaji meneja jina kampuni ila nilienda kulipia meter nikakuta kuna wateja kama 60 wanasema wamelipa wana miezi 4 hawajafungiwa meter coz Tanesco wanadai meter hakuna. Ilibidi nijiongeze nikalipa nikaenda na risiti yangu kwa Meneja nikajitambulisha me nafanya kazi...
  10. Mangare100

    Taarifa ya kukosekana kwa Umeme kwa baadhi ya maeneo ya mkoa wa Ilala

    Hao tanesco ni washenzi nao pia ni jipu. Nakaa Mbezi ya kimara Nipo nyumbani wiki ya pili niko likizo umeme kila ck unakatika tena kwa muda mrefu na hakuna taarifa yoyote tena wanakata na kurudisha wanaweza hata kutuunguzia vitu vyetu, wanakera sana hawa Tanesco.
  11. Mangare100

    Tetesi: Wilaya ya Rombo ni ya kwanza duniani kwa kuwa na aina nyingi za pombe za kienyeji

    Rombo kweli ina pombe nyingi sana hasa za kienyeji na wanasafirisha kupeleka Kenya pia. Me nimesoma huko baba yangu alikuwa afisa tarafa alipa wakati mgumu sana kukabiliana na tatizo la kumaliza pombe haramu hasa gongo. Kuna kipindi kuna mama alimfata hadi nyumbani akamwambia yy ni mjane watoto...
  12. Mangare100

    Iphone 5 users: How do you keep your phone with charge for a long time ?

    Mkuu tunashukuru kwa maelezo ila sijaelewa una close vipi program zinazorun kwenye iphone 5?
  13. Mangare100

    Aibu nyingine kwa CHADEMA

    Huyu ni mke wake ww ndoa dk. Liliani Mtei mtoto wa gavana wa zamani wa BOT DK. Edwin Mtei. Na hao wanaoshuhudia ni watoto wao.
Back
Top Bottom