Aibu nyingine kwa CHADEMA

Aibu nyingine kwa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
photoshop hiyo umejitahidi ila angalia kwanza viganja vya mheshimiwa Mbowe kimoja kikubwa na kingine kidogo
2.mkono wa huyo binti umezama sana shingoni yaan shingo umemeza kiganja cha mkono cha binti
3.kwenye kiganja cha mkono wa mbowe alioshikilia kidevu mdau amejaribu ila kuna uchafi ameshinwa utoa wakati wa editing lol!!
sahme on you.
Hii sio photoshop ni picha halisi ambayo ilipigwa na familia ya Mbowe , sasa imewekwa kwenye mitandao na familia ili kuijulisha michepuko inayomvizia Mbowe kuwa wako imara kama familia ............
 
Acha ujuha ww kumbusu mke hakuna mipaka tazama wenzio
x188193347751538620_5.jpg
 
Watu wenye precambial brains utawajua tu.
Huyo ni mke wake,
Tena hawapo bar,nyumbani.
Huu ni wivu au nini?
 
Hakuna cha ajabu hapo jinyosheni vidole kwanza nyie Magamba ndi mji kwa mtu na mkewake mlitaka asiwe na mke? Ni upuzi mkubwa kuongelea maisha yamtu binafsi
 
Jamani wana jamvi hebu tupieni picha za akina komba wakiwa na visichana vidogo
 
WanaJF,

Kwa nafasi aliyonayo Mbowe kama mwenyekiti wa CHADEMA pia mbunge wa jimbo la Hai, kuna namna ambavyo anapaswa kuyaendesha maisha yake na SIO kuishi kihuni na kisela kama ambavyo amefanya katika picha zinazo endelea kusambaa mitandaoni!

Mbowe ambae pia ni mmoja wa viongozi wa UKAWA leo katika siku ya kukumbuka miaka 15 ya kufariki kwa baba wa taifa, ame-post kwenye ukurasa wake wa Facebook picha ambayo imejaa aibu na isiyo na maadili katika jamii yetu.

Picha ambayo Mbowe ame-post ni yenye kumuonyesha mheshimiwa huyo akimpiga "busu" mwanamke ambae hakufahamika kwa haraka wakiwa katika mgahawa.

Je, hayo ndiyo mambo ambayo kiongozi anayejitapa kuwa ana uadilifu anaweza kufanya? Ukizingatia tupo kwenye siku muhimu ya kumbukumbu ya kifo cha muasisi wa taifa letu!

Je, picha hii ya Mbowe ina tofauti gani na ile ya askari wa usalama barabarani wakiwa wanapigana mabusu?
 
...akidi imeshindikana sasa mmejaribu kutengeneza picha mtafuta pakutokea...
 
Hii ndiyo singo mpya ambayo Mwenyekiti wenu asiyemheshimu Nyerere kiasi cha kushindwa kumwita Baba wa Taifa au Mwalimu badala yake akaanza kumwita Mzee Nyerere amewatuma muanze kuiuza kumwokoa na aibu na mashambulizi anayoyapata sasa ya kuonesha uwezo mdogo wa kiuongozi Kama ambavyo Mwalimu alimtabiria?

Au ndiyo singo mpya ambayo Mzee wa Weka Mbali na Tembo amewatuma vijana wake mje nayo ili kupunguza mashambulizi ya tuhuma za kumaliza tembo wetu ambazo zimeanza upya baada ya yeye kwa kushirikiana na mwenzake mmoja hivi walipoamua kumshambulia mwenzao mmoja katika circles za keki yao!

Waambieni wakuu wenu! Kila wanapokuwa wamezidiwa mashambulizi ya hoja za maana huwa wanaingiza mambo kama haya eti kubadili upepo na kuwarubuni wananchi!

Singo zilizoko mjini kwa sasa ni Katiba Mpya, Uchaguzi Serikali za Mitaa na
 
Nimeenda huko facebook na picha inayoonekani ni ya kusalimiana tu.Yaani wamekumbatiana tena kiheshima kabisa wanasalimiana.Ni wazi wamekutana katika hilo eneo.

Siasa zimewashinda mnaanza kutuletea hadithi za Shigongo!
 
Hii ndiyo singo mpya ambayo Mwenyekiti wenu asiyemheshimu Nyerere kiasi cha kushindwa kumwita Baba wa Taifa au Mwalimu badala yake akaanza kumwita Mzee Nyerere amewatuma muanze kuiuza kumwokoa na aibu na mashambulizi anayoyapata sasa ya kuonesha uwezo mdogo wa kiuongozi Kama ambavyo Mwalimu alimtabiria?

Au ndiyo singo mpya ambayo Mzee wa Weka Mbali na Tembo amewatuma vijana wake mje nayo ili kupunguza mashambulizi ya tuhuma za kumaliza tembo wetu ambazo zimeanza upya baada ya yeye kwa kushirikiana na mwenzake mmoja hivi walipoamua kumshambulia mwenzao mmoja katika circles za keki yao!

Waambieni wakuu wenu! Kila wanapokuwa wamezidiwa mashambulizi ya hoja za maana huwa wanaingiza mambo kama haya eti kubadili upepo na kuwarubuni wananchi!

Singo zilizoko mjini kwa sasa ni Katiba Mpya, Uchaguzi Serikali za Mitaa na

Naona umekuja mbio mbio kumtetea bosi wako hadi unapata shida kuyanyoosha maandishi yako vizuri. Kijana kuwa mpole, hichi ambacho bosi wako amefanya sio kitu cha mzaha, ni aibu kubwa, ukosefu wa maadili na miiko.

Katika maelezo yako yote hapo juu, hakuna hata sentensi moja uliyogusia uchafu wa bosi wako Mbowe, bali ulichofanya ni ujanja ujanja wa kutaka kuigeuza mada! Kijana, kuwa mpole.

Hivi, kama uliweza kupigia kelele suala la askali wa usalama barabarani kupiga picha ya hovyo kama hiyo ya Mbowe na hadi askali wale husika wakaachishwa kazi. Iweje leo hii utete uozo wa bosi wako na kutaka kutuaminisha kuwa picha hiyo ya Mbowe ni ya kawaida tu na haina tatizo lolote? Badala yake unatutaka tukomalie katiba mpya? Hivi uandaaji wa katiba mpya unafanya mambo yote mengine yasijadiliwe!?

Mbona wale askali wa usalama barabara uliwajadili vizuri tu na huku mchakato wa katiba mpya ukiwa unaendelea!?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom