Nafikiri Zaidi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 516
- 686
- Thread starter
- #21
Baada ya hapo inapokea mesej kawaida au??Ilikuja msg kunialert nifanye hivyo
Baada ya hapo inapokea mesej kawaida au??Ilikuja msg kunialert nifanye hivyo
GBWA3_Fix v4.05-2.12.361 @atnfas_hoak.apkDaah second tick cja hide ipo ila nime hide kwamba meseji imesomwa na online status cjahide ipo free tuu....
Alaf mkuu naomba basi kama una latest version ntumie link apa basi
Hahahaha pole mkuu kipo kwenye developer option angalia picha hiiNimetafuta simu nzima sijakiona aisee dah.... Au nirudi kwenye WhatsApp yangu ya kawaida nini?????
Hata mimi na tatizo hilo cm yangu mwanzo nilikuwa naweza kupiga au kupokea cm Za whatsup ila sasa hivi inaniambia mpaka niconnect na wifi.mm nina shida na what sup calls yaani naona tu miss calld
Tafuta vpn inaitwa flyvpn ipo playstore. Tatizo sio simu ni baadhi ya mitandao ya simu wameblock hiyo serviceHata mimi na tatizo hilo cm yangu mwanzo nilikuwa naweza kupiga au kupokea cm Za whatsup ila sasa hivi inaniambia mpaka niconnect na wifi.
Asantee mkuu nisha update
Ngoja nichekii hii kituuHahahaha pole mkuu kipo kwenye developer option angalia picha hii![]()
Nisha updateUpdate whatsapp yako...
Asantee kwa advice mkuuuninstall alafu download upya. Nilishawahi kupata tatizo hilo pia