Recent content by mangare 1st

  1. M

    Kampuni ya Maziwa ya unga ya Cowbell Matatani

    Na hiki ndicho kilichofanyika bidhaa imesharudi sokoni kama zamani
  2. M

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Kusafiri kuja mwanza kwangu ni vigumu, huwezi kuniunganisha na mtu huko nikapata gharama za mchakato mzima was gunia Hadi kufika hapa dar?
  3. M

    Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

    Mimi nipo Dar nipo interested na hii biashara naomba mwongozo wake.
  4. M

    Kwanini friji langu limepungua uwezo wa kugandisha au kupoza haraka? Naombeni msaada

    Hebu mnisaidie wakuu fridge yangu upande wa freezer unagandisha vizuri Sana ila up upande wa fridge haupoozi hata kidogo tatizo linaweza Kuwa ni nini?
  5. M

    Naomba mawasiliano ya Secretariet ya ajira

    Habari za muda huu wakuu. Naomba msaada wa contact za mtu yeyote anayefanya kazi sekretariet ya ajira kwani Kuna ndugu yangu Ana aply nafasi ya kazi kila skifuka mwisho inafail. Ana sifa zote zinazohitajika katika hiYo nafasi. Natanguliza shukrani zangu
  6. M

    Huu utaratibu uliowekwa na NSSF Mkoa wa Ilala na Temeke ni sawa?

    Habari za muda huu wakuu, Kuna utaratibu nimekutana nao pale NSSF Ofisi ya mikoa au wilaya za Ilala na Temeke kwamba ukiwa unafuatilia mafao yako wakati wa kurudisha zile fomu zao unatakiwa uchukue namba getini siku husika. Hilo sio tatizo ila muda wa kuchukua hizo namba ndo tatizo. Walinzi...
  7. M

    SPECIAL: Game of Thrones (A song of ice and fire)

    Mkuu Bonny ukiipata naomba tuwasiliane Mimi nahitaji season ya 7 na ya 8 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    1 Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Utunzaji wa nywele za asili

    Kasie, Kabla ya kutreat unaziosha kwanza au? Pia baada ya kutreat unaosha na sabuni au ni maji peke yake?
  12. M

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nimeuliza inachukua muda gani kupata nyingine? Kureport tayari ila wakaniambia itachukua muda Ila muda gani specific hawakunijibu
Back
Top Bottom