Recent content by mandokwa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tafakuri kwa wapinzani Tanzania

    Ni tafakuri tu mkuu.... wala haihitaji hasira...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tafakuri kwa wapinzani Tanzania

    Hali zenu wanajamvi, Mimi nashukuru nipo hai natarajia kuchanja wiki hii. Naomba wapinzanzi watafakari jambo moja tu: Anapopatikana kibaka mwanaume huuawa au hupewa kipondo cha hali ya juu. BUT anaposhikwa kibaka mwanamke hata sehemu kama kariakoo hali huwa tofauti sana. Hushikwashikwa na...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuna kila dalili Samia Suluhu atakuwa Rais wa muhula mmoja pekee, dalili hizo ni hizi...

    Kuhusu TBC nadhani wanatekeleza ile dhana ya kwamba tupo katika 21 days za kuomboleza. Baada ya hapo tutawashangaa
  4. M

    JamiiForums Tanzania Elimu ya Chuo Kikuu Mzumbe na IFM zimejaa Siasa, Wahitimu wa hivyo vyuo wengi ni Vilaza

    LIST of ACCREDITED UNIVERSITIES IN TANZANIA. Kubishana na mtu mjinga kwa maneno haitoshi... attached is the list of accredited Universities in Tanzania. Labda kama utasema TCU nayo haina viwango....
  5. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu kulea mtoto ambaye siyo wako

    Naungana nawewe mkuu. Namshauri awe makini sana ikiwezekana amtafute baba na hao kaka wengine awatambue. Dunia hii inamambo mengi usiyoyatarajia na pia kama unafamilia yenye mabinti na wavulana wadogo ujue kuanzia sasa uwe extra careful.
  6. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Huyu bwana michoro yake imepinda!

    Brother Kenzy kwahiyo nawe umeamua kutumia strategy za kusurvive?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hivi hii ni sahihi kweli? nini kazi ya bwana harusi?

    wengi wao tunaona wanavyohangaika kulazimisha michango...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Hivi hii ni sahihi kweli? nini kazi ya bwana harusi?

    Mnatusumbua michango ya send-off kibao. Kama hauna kwanini unajilazimisha? a mumewe atafanya.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hivi hii ni sahihi kweli? nini kazi ya bwana harusi?

    Nimeishinae miaka 18 na hataki kurudi kwao.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hivi hii ni sahihi kweli? nini kazi ya bwana harusi?

    asilimia kubwa wanachangisha watu kwenye send-off.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Hivi hii ni sahihi kweli? nini kazi ya bwana harusi?

    Mimi nilimuambia bibi harusi mapema kwamba nyumba yangu imejaa vitu so hakuna pakuviweka vyake. akaviacha kwao. This is my home and she is my wife. I am obligated to shelter, feed, bed and dress as well as to protect her.... Kwanini wazazi wahisi mimi sina kitanda? sina godoro?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hivi hii ni sahihi kweli? nini kazi ya bwana harusi?

    Habari zenu wanandugu!!! Nimekuwa mshenga nasimamia harusi ya ndugu yangu. Jana tulikuwa tunawaza zawadi ya bibi harusi tukataja mambo mengi sana. Kisha nikawaza.. 1. kuna haja kweli ya familia ya bibi harusi kumnunulia kila kitu binti yao wakati anaenda kuolewa? yaani kitanda, kabati, vyombo...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Acha kukimbizana na kila fursa inayokuja mbele kabla ya kwanza haijasimama

    Lakini msisahau ushauri wa wataalam wanaosema pia usiweke mayai yote kwenye kapu moja!!! Hawa wote wanauzoefu kuhusu maisha!
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kufuzu AFCON 2021: Libya 2 - 1 Taifa Stars | Mchezo wa mzunguko wa pili Kundi J

    Unaifaham rangi ya kijani vizuri sana. Hongera.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kusomesha shule za ada kubwa na kawaida nini faida

    ==== Kwa taarifa yako, wale wabunge wote mjengoni watoto wao hawasomi shule za public.... Kama wapo ni wachache ambao wameenda shule zinazoitwa maalum. Waziri wa elimu na wakurugenzi wa elimu pale wizarani hawasomeshi watoto wao shule za public... Kwa maana wanachakachua mchuzi mle nyie, wao...
Back
Top Bottom