Elimu ya Chuo Kikuu Mzumbe na IFM zimejaa Siasa, Wahitimu wa hivyo vyuo wengi ni Vilaza

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,100
Wanabodi, kilichotokea leo kwenye kuapa kwa yule muhitimu wa Mzumbe na IFM ni ushahidi tosha kuwa hakuna elimu Mzumbe na IFM

Ukweli ni mchungu sana. Kuna vyuo vilipandishwa hadhi ya kutoa shahada za awali na uzamili kisiasa tu. Vyuo kama Mzumbe na IFM bado sana sana

Mosi, Havina wahadhiri wa kutosha hasa wabobezi

Mzumbe na IFM havina mipango endelevu ya kusomesha na kuendeleza Walimu wao vijana huko Ulaya, Vinategemea walimu wa kukodi na kuunga unga tu toka vyuo vingine.

Ni aibu na dharau kubwa sana kwa wahitimu wa hivi vyuo, Wamejaa majungu na uzandiki wa kutisha

Jamaa ana Masters ya Mzumbe hajui kusoma kiswahili alifauli vipi? Presentation alifanya vipi? Mtoto wake nyumbani atamuona Baba vipi?

Pili, lengo la chuo ni kuwafanya wahitimu kuwa na uwezo wa kujiamini na kupambana na mzingira mapya wakati wote. Huyu muhitimu aliyeapa leo kwa kuogopa na kutetemeka toka Mzumbe na IFM ni funga mwaka.

Naungana na Rais lazima elimu yake ichunguzwe, hii ni aibu kwa taifa

Hakika jamaa hajawi fanya presentation au kuandaa report yeyote akiwa huko Mzumbe na IFM

Elimu yake ya stashahada ya juu ameipatia kwenye chuo kisicho na hadhi IFM

Elimu yake ya shahada ya uzamili kajipatia hapo Mzumbe chuo ambacho hakina hadhi pia

Vyuo vinavyotambulika Tanzania na accredited vinavyoweza kukufanya ukasome Ulaya kirahisi kwenye shahada za juu bila kurudia shahada ya uzamili ni UDSM na SUA tu

Huyo jamaa achunguzwe ameleta aibu kuu ya Taifa na dharau kubwa mbele ya Rais

Je, Mzumbe kuna profesa wangapi na wameandika article ngapi kwenye international Journals?

Je, IFM kuna profesa yeyote ambaye anatambulika kimataifa na ana papers zake kwenye international Journals?

Mzumbe na IFM wamejaa walimu wenye shahada moja au mbili yaani Tutorial assistance tu

Walimu wa Mzumbe na IFM wakienda UDSM na SUA kazi yao ni kusimamia seminar au Seminar leaders

Seminar leaders ndio wamegeuka walimu Mzumbe na IFM

Ni vyema hivi vyuo kuvi downgrade virudi kuwa vyuo vya kati na sio vyuo vikuu havina hadhi

Leo hii ni kawaida kuwasikia vijana tunaenda kusoma Mzumbe kwa kuwa elimu ni rahisi sana na hakuna kufuatiliana

Leo hii ni kawaida kusikia naenda kusoma Masters IFM kwani ni rahisi sana na hakuna usumbufu na kufuatiliana
 
Bado una ushabiki wa high school kiongozi.

Elimu ni uwezo binafsi na haihusiani kabisa na issue ya chuo.

Btw unless you are studying neuroscience or anything related to that, college education is just a business and that's why it goes with branding and reputation..
 
CCM ndio wanapenda iwe hivyo yaani hakuna mtoto wa mbunge au waziri anayesoma kwenye shule za kata lakini majukwaani wanasema tunajali wanyonge, hii katiba iliyopo inatoa upenyo kwa watu kama hao eeeeti mtu akijua kusoma tu basi aweza kuwa diwani, mbunge, mwenyekiti wa Kijiji katiba hii kwa Sasa haifai hata kwa kachumbari lakini maccm yanafurahi kwa sababu yanaiba kwa kuwa wabunge na madiwani ni vihiyo ambao kuapa hawawezi wengine wanakimbia hata kwenda kwenye vikao vya nje ya nchi .
 
Bado una ushabiki wa high school kiongozi..
Elimu ni uwezo binafsi na haihusiani kabisa na issue ya chuo ..
Btw unless you are studying neuroscience or anything related to that, college education is just a business and that's why it goes with branding and reputation..
Sasa kama uwezo binafsi mbona huku mitaani hatuoni impact yoyote au mimi sijaelewa mantiki yako
 
LIST of ACCREDITED UNIVERSITIES IN TANZANIA.

Kubishana na mtu mjinga kwa maneno haitoshi... attached is the list of accredited Universities in Tanzania. Labda kama utasema TCU nayo haina viwango....
 

Attachments

  • LIST OF UNIVERSITY INSTITUTIONS IN TZ AS OF 30.6.2020.pdf
    225.4 KB · Views: 85
Dr. Emmanuel Nchimbi naye ni zalio la kitaaluma ktk chuo hiki. "Accreditation" za vyuo kwa sasa hazizingatiwi kabisa, ijapokuwa ndani ya hadhi za kitaaluma za vyuo hazina maana.

"Post graduate studies" zimegeuka kuwa fursa za wahadhiri kutengeneza faida kwa vilaza. "Desertation & thesis" zimekuwa siyo tena kipimo halisi na cha ubora kwa "academic researches" bali kimekuwa desa kama desa lingine liwalo lolote lile.
 
Bado una ushabiki wa high school kiongozi..
Elimu ni uwezo binafsi na haihusiani kabisa na issue ya chuo ..
Btw unless you are studying neuroscience or anything related to that, college education is just a business and that's why it goes with branding and reputation..
Mkuu zamani tuliosoma course inafundishwa na Proffesor na Doctor tu

Hao masters kazi yao ni kubeba mafaili ya Doctor na Professor na kutusaidia wanafunzi kuishi vizuri na kutupeleka sehemu za music

Watu wa Masters tulikuwa tunakaa nao Bench tunamsikiliza Professor au Dictor anafundisha mbele

Sasa mtu kama huyu asiyejua kusoma ndio akasimamie madini kweli?
 
Mbona hata hakuna uhusiano katika ya elimu yake na kushindwa kuapa, ama mimi ndio mvivu wa kufikiri?

Ebu jiulize kwanza bungeni aliapaje? Kampeni alifanyeje?

Hivi vitu muda mwingine tumuachie muhusika ndio anaeweza kujua ukweli
 
Sasa kama uwezo binafsi mbona huku mitaani hatuoni impact yoyote au mimi sijaelewa mantiki yako
Inategemea unaona nini unaposema impact

Hii ni nchi ya kijamaa, ikiwa mjuaji sana wanakufanyia mambo
Nakumbuka Tanzania Heart institute ya Prf Massawe ilivoyeyuka.

We kuwa mjanja make life lako.
Huoni kila mtu akipata shida anaita serikali

NGos zinafungiwa account
 
Vipi, jasusi Membe alisoma mzumbe au ifm? Profesa Lipumba je???
Membe amesoma udsm na John Hopkins university

Lipumba amesoma stanford na udsm

Angalia flow ya Membe kuhusu diaspora na mgogoro wa Malawi

Angalia flow ya lipumba kuhusu Monetary Finance

Soma article za Lipumba huko International Journal ni nguli

Angalia matokeo ya Membe udsm ni nguli

Angali Membe akiwa anamjibu Rostam kuhusu hawezi kuwa mkristo kuliko warumi
 
Back
Top Bottom