chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
aisee kama hiyo nadharia yako ni ya kweli basi wazungu tungekuwa tushawapita ubunifu, maana maisha soft wao wameanza kuish karne ya 19,lakini ndio wanaaongoza kwa ubunifuMaisha hayana kubembeleza, Maisha ni mchaka mchaka, maisha ni mapambano. Endeleeni kuwaonyesha watoto na wajukuu zenu ufahari na kiburi cha fedha mlizonazo lakini mwisho wake upo karibu zaidi.Mtoto hajui kugombea chakula, hajui kugombea daladala, hajui kuzipga kavu kavu bila refa, mtoto hajui kumkoromea mwenzake, mtoto njaa kwake ni msamiati.Mtoto hajui kuuza kokoto wala kuuza karanga. Chanzo cha ubunifu wowote duniani ni changamoto ambazo mtu anapitia, hakuna ubunifu ukiwa umekulia katika meza ya mfalme. Imekuwa inatisha namna ambavyo wazazi wamekuwa wakitumia kiasi kikubwa cha fedha kulipa ada za shule wengine wakiwa hali zao ni duni lakini wakifuata mkumbo.
hata kibongo bongo tu watu kama akina Mo Dewji ambao wameishi maisha yasiyo ya tabu ndio anazidi kupeleka utajiri wa familia next level, yupo agressive kulio watoto waliokulia kwenye umasikini