Habari zenu wanandugu!!!
Nimekuwa mshenga nasimamia harusi ya ndugu yangu. Jana tulikuwa tunawaza zawadi ya bibi harusi tukataja mambo mengi sana. Kisha nikawaza..
1. kuna haja kweli ya familia ya bibi harusi kumnunulia kila kitu binti yao wakati anaenda kuolewa? yaani kitanda, kabati, vyombo, mashuka hadi nguo za ndani night dress etc
2. Sasa kazi ya bwana harusi ni nini? yaani unampa binti yako na sehemu ya kumkazia pia?
3. Hatuoni ya kwamba ile hali ya maharusi kuanza kwa pamoja wanajichanga kidogokidogo wanafanikisha kitanda kabati tv mpaka wanakuwa wakubwa hujenga bond nzuri katika mahusiano?
4. Hatuoni ya kwamba kumpatia kila kitu ni sawa na kumuambia kaa ukiwa tayari kusepa kwenda kupanga?
5. Kwa wanaume ambao mmeoa mkakuta kila kitu uanaume wenu unakaa wapi? au mnajisikia hali gani?
karibuni wadau
Nimekuwa mshenga nasimamia harusi ya ndugu yangu. Jana tulikuwa tunawaza zawadi ya bibi harusi tukataja mambo mengi sana. Kisha nikawaza..
1. kuna haja kweli ya familia ya bibi harusi kumnunulia kila kitu binti yao wakati anaenda kuolewa? yaani kitanda, kabati, vyombo, mashuka hadi nguo za ndani night dress etc
2. Sasa kazi ya bwana harusi ni nini? yaani unampa binti yako na sehemu ya kumkazia pia?
3. Hatuoni ya kwamba ile hali ya maharusi kuanza kwa pamoja wanajichanga kidogokidogo wanafanikisha kitanda kabati tv mpaka wanakuwa wakubwa hujenga bond nzuri katika mahusiano?
4. Hatuoni ya kwamba kumpatia kila kitu ni sawa na kumuambia kaa ukiwa tayari kusepa kwenda kupanga?
5. Kwa wanaume ambao mmeoa mkakuta kila kitu uanaume wenu unakaa wapi? au mnajisikia hali gani?
karibuni wadau