Recent content by Manchago

  1. M

    Kamanda Lema ndani ya Arumeru

    Du!! kweli hii ni hatari mkuu.mi naona kwnz tusubiri uchaguzi upite kitajulikana
  2. M

    Edward Lowassa aumbuka Arumeru Mashariki

    Ni kweli mkuu kilicho baki watangaze mshindi kwn c tayari anajulikana!!
  3. M

    "Missing this lady"

    Tupo nae geto mbaba wala usimtafute!
  4. M

    Majina maarufu ya Kihaya

    Kashushura.je umeisoma hiyo
  5. M

    Nini kifanyike mapenzi yaimarike

    Nimewasoma wana jf.coz kil siku mwanadamu lzm ajifunze no body perfect
  6. M

    Ananitekenya kwenye kiganja kila tukishikana mkono!

    Kwnz ww jinsia gan?!! Funguka nikuambie njia ya kufanya
  7. M

    Haya huchangia Mwanaume kuwa mchovu kitandani

    Mkubwa kuchoka kw mwanaume kwny six by six ni kutokana na kupiga game za nje!
  8. M

    Nini kifanyike mapenzi yaimarike

    Siku hizi ndoa nyingi hazidumu kama zamani je ni usasa tulionao ama kuna mambo tumeyasahau ndugu zangu naomba mchango wenu napenda nijipange?!
  9. M

    Tutachati baadae MPENZI wangu, niko na hili kubwa jinga...

    Hapo issue kaka ni kuuchuna alafu unapotezea kwn yeye c kajua kuwa kafanya mistake, bac adhabu atakayoipata.!!
  10. M

    Jinsi ya kumjua msichana mwenye mapenzi ya dhati na ya kweli!

    Mkuu duu!! Point zak mi naona kama feki vile
  11. M

    Inaniuma sana

    Duu!! Kweli wakuu nimewapata vilivyo.
  12. M

    Mwanaume asiye na gari mi hata simkubalii!

    Mkuu hao vicheche kwn mapenz ni gari nn??nawataishia daladala
  13. M

    Inaniuma sana

    Wanajamii wenzangu ninatatizo linaniumiza kichwa nilikuwa na demu wng 2liishi nae muda ikafikia akaanza kubadilika nikaona nimteme sasa yapita miaka 2 nashangaa siku hizi ananilazimisha turudiane coz amesikia naona,naomba ushauri wenu mi ni wakiume
  14. M

    hawa madingi na vitambi,vipara na mvi huku nite club wanatafta nn?

    Mkuu? Unashangaa nn wanakula gudtmy'
Back
Top Bottom