eti aisee
Usitishike na vitambi na vipara ni maumbile ya watoto wenzio wa siku hizi tena ni wadogo zako wanakushangaa wewe wanakuona kibabu eti umekomaa unafata nini night club
Ulichokifuata ww ndo walichofuata pia.....kwani katiba inasemaje kuhusu starehe??
Hahahaaaa, waliruka stage so wana'compasate tht skipped part..