Hela kitu gan bhana ..bas kabda wengine tumebalikiwa mvuto wa ajabu....mana mi tangu nianze mpenzi na madem sijawai tongoza dem akanikatalia ....na dem wakwanza kua naye ni alinitongoza na mwingine wa juz juzi tu alinitongoza....na pia sitoi hela hata labda vocha ya jero kwa wiki au mwez au...
Acha uongo ww mm ni mtaalam wa macho toka kcmc ...macho hayawez ingia ndan kwkutumia miwan ni iman yako tuu ...pia njia zingine huwez gharamia kama refractive surgery...au kuvaa contact lenss...ndo mana best option ni miwan......ingekua inapelekea kuzamisha watu macho ....wale wanaovaaa tangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.