Sitathubutu kuoa wala kupata mtoto

Sitathubutu kuoa wala kupata mtoto

huwezi kuiongaza akili ila akili ndio itakayo kuongoza wewe subiri upate demu ambaye ataivuluga hiyo akili
 
Hahahahahaaa

Nimejikuta nawaza kwa sauti, binadamu aliyekamilika mwenye pesa kula kulala pazuri familia iko safi...... Huna mke wala mtoto wala G. Friend. .... basi dunia itakuzawadia jina......
Si bure yule kaka atakuwa gasho tuu.... wengine watasema heee yule kaka shaba. .... wengine watasema maskini. ... yule kaka anakila kitu ila si rizki.... Haya yule mtoto anayelea na kumsomesha sio wake kumchukua vituo vya kulelea mayatima. .....
Utakwepa kadhaa za mke au mpenzi ila hutokwepa za walimwengu.
Kila la kheri.
Hata asingekuwa hivyo bado wangemsema tu, kuna watu ni kawaida yao kufuatilia maisha ya watu na kusema sana.
 
Mi naona kinachokusumbua ni uwoga wa Maisha tu. Na kama si hivyo huna uwezo kwa kuzalisha sasa unatafuta sbb toka kwa wanawake. Jitambue tu na kujiamini.
 
Pole sana kwa yaliyokukuta....! Lakini tafadhali uwaombe wazazi wako msamaha kwa kuwakosoa kuwa walifanya vibaya kuoana na kukuzaaa wewe...!
Again take note that;
  1. It is better to expect "the good" and getting "the very good" than expecting "the most excellent", and getting "the excellent". So, never look for the most perfect partner, because you will end up crying in your lifetime....!
  2. The most complex animal in the world is the human being....! So, Never trust a human being, even yourself because only LORD deserves to be trusted...! And only fools may trust a human being....!
  3. Whenever you find right to change your mind, come back and tell us so and why, as you did now.....!

Mkalimani anahitajika hapa
 
Dah.,, kwanza tuwekane sawa, upo Dar au Mkoa? Hata hivyo maisha yana sehemu 4 ili yakamilike
1. Uwe na ujuzi fulani ili uweze kuwa saidia binadamu wengine.
2. Uwe na namna ya kupata kipato.
3. Uwe na mahusiano.
4. Uwe na imani/dini
Hamna kaka tatizo wengi tunaishi kwa kukariri lakini kiukweli maisha ni vile wewe unavo yapangilia!
 
Dah, natumai wee ni kijana mwenzangu! Akili zako hizo utakuja juta baadae huko kwenye fainali, unaweza usioe sasa ila mtoto/ watoto lazima uanze kuwatafuta haraka iwezekanavyo kabla umri haujakutupa mkono.
 
Mi naona kinachokusumbua ni uwoga wa Maisha tu. Na kama si hivyo huna uwezo kwa kuzalisha sasa unatafuta sbb toka kwa wanawake. Jitambue tu na kujiamini.
Siogopi chochote na uwezo wa Kuzalisha ninao Kabisa ila sitaki tubishane katika hilo maana mtataka nidhibitishe na njia pekee ya kudhibitisha ni kupata mtoto kitu ambacho sipo tayari!
 
Utakuwa na stress sio bure mkuu, yaani uko radhi kulea mtoto wa mwenzio ila sio uzae wako umlee, ukifa utasahaulika haraka bora utafute mtoto ila usioe
 
you made my day hahahahahaaaaaaaaa

sasa ndugu yangu umetapika hapo juu mpaka umenifanya nicheke kweli ukiwa kwenye stress utaongea vyovyote
 
Back
Top Bottom