Recent content by Man kito

  1. Man kito

    Muuza duka

    Muuza duka.
  2. Man kito

    Muuza duka

    Mimi ndiye niliyetoa hilo tangazo. bahati nzuri au mbaya tumesha pata muuza duka mwenye vigezo, na tulisha lifuta hilo tangazo kwenye website tuliyo tangazia. nakuomba na wewe ulifute hapa au uliedit ufute hiyo namba kwani mtu akiona anadhani bado tunahitaji mfanyakazi hivyo tumekuwa tukipokea...
  3. Man kito

    Ukusanyaji wa kodi biashara ya mgahawa njia ya Dar - Arusha!

    Unacho kilalamikia hakieleweki, hebu fafanua. Inaonekana kama unamaanisha hawa wa miliki wa hizi hoteli za barabarani hawalipi kodi lakini hauna uhakika, kwani hakuna uwezekano wa kuwa wanalipa kodi halali? Nadhani ungeanza kwa kutueleza kwa ushahidi jinsi gani hawa wamiliki wa hizi hoteli...
  4. Man kito

    Congrats Fountain Gate Academy, but ..

    The school is faring very well now. The progress is very positive as in this year's standard seven results, they ranked 2nd in ilala municipal, and 5th regional wise with almost all students getting an average mark of A, except for two students who had an average of B. In my opinion, if they...
  5. Man kito

    USHAURI: Jimbo la SEGEREA apewe J. Mtatiro

    Mimi ni mkazi wa Segerea, na kwa kiasi kikubwa sana huku watu wana chagua chama zaidi kuliko hata mtu, na kwakuwa ninamkubali sana Mtatiro kwa uwezo wake wa kujenga hoja, ningewashauri UKAWA ili wawe na uhakika wa kulipata hili jimbo, MTATIRO angejiunga na CHADEMA kwa kipindi hiki halafu wampe...
  6. Man kito

    Wazo: Uitishwe Mdahalo kati ya Magufuli Vs Lowassa

    Hakuna haja ya mdahalo, watanzania wamesha chagua raisi wao ambaye ni Mheshimiwa LOWASSA. Atakabidhiwa ilani halafu ataitekeleza kwasababu tunajua anauawezo wa kuitekeleza ilani 100%. Hatahivyo kipindi hiki ndio mnaona haja ya mdahalo? Miaka iliyopita vipi, mlikuwa hamuoni haja ya midahalo...
  7. Man kito

    GE2015 Hongereni tena Segerea: Nina furaha tele na sijatetereka

    Hongera sana kiongozi. Sikuwahi kufikiria kama una busara nyingi kiasi hiki. Kiukweli ninasikitika kwasababu ningependa kuona watu wenye haiba yako pale bungeni. Ila sio mbaya, kwani umesema unakwenda kusimamia mambo mengine na utarejea panapo majaaliwa.Tunakutakia kila lililojema katika...
  8. Man kito

    Ninamiliki kadi saba za vyama tofauti

    kwa kifupi wewe ni mmallaaya wa siasa.
  9. Man kito

    Zitto hiyo si demokrasia

    Nasisi ambao hatupo chadema ila tunapenda demokrasia tungependa kufahamu aina ya demokrasia ambayo AY4T0LA Zitto anaileta huko ACT.
  10. Man kito

    Zitto hiyo si demokrasia

    Na kwasisi ambao hatupo CHADEMA tunataka kujua ni demokrasia ya namnagani hii ambayo -------- ZITTO anaileta huko ACT?
  11. Man kito

    Dr. Slaa uso kwa uso na Zitto kwenye Mdahalo tarehe 18 June!

    Usiwe unaleta mada kishabiki. Hauwezi hatasikumoja ukamlinganisha ZITTO na Dr. SLAA katika nyanja yeyote ile iwe kielimu, kiuongozi, kiuelewa wa mambo na hata kiimani. Kielimu, ZITTO anaelimu ya kawaida wakati Dr. SLAA ni PhD holder, Kiuongozi ZITTO hakuna kitu chochote alichokifanya alipokuwa...
  12. Man kito

    China wameshidwa ujamaa

    Ujamaa kwa kifupi ni wengi wasiofanya kazi kwa ustadi wa hali ya juu kugawana utajiri unaotokana na wachache wanaojituma na kufanya kazi kwa ustandi wa hali ya juu. Eee Mwenyezi Mungu naomba utuepushie huyu ZITTO KABWELA anayetaka kuturudisha kwenye hizi zama za ujamaa
  13. Man kito

    Dr. Slaa na Prof. Ibrahim Lipumba na hatma ya UKAWA

    Wacha uongo wewe, sisi sio watoto. Sasa ivi CDM imeenea kwa asilimia kubwa sana tanzania bara kuliko CUF kwa hiyo hata kwenye maeneo ambayo CUF ipo, bado CDM inanguvu vilevile na ndio maana unaona nao walikuwa wanasimamisha mgombea, na ndio maana utaona walikuwa hawapishani kwa wigo mkubwa. Huo...
  14. Man kito

    Dr. Slaa na Prof. Ibrahim Lipumba na hatma ya UKAWA

    Sikubaliani na wewe kuwa CUF ndio wanamgombea bora kuliko wenzake. Hakuna kitu chochote cha kimaendeleo cha mfano wa kuigwa alichokifanya cha kututhibitishia kwamba ndiye bora. Kwa mtazamo wangu nadhani Dr. Slaa ndiye kiongozi bora zaidi, ameonyesha kwa mifano alipokuwa mbunge wa karatu, jimbo...
  15. Man kito

    Upepo umegeuka, sasa ni Makongoro Nyerere!

    Wewe ni muongo na ni mchonganishi.
Back
Top Bottom