Kuwa na kadi ya chama chochote cha siasa kwa sasa ni upumbavu tu...
Zamani ukiwa na kadi ya chama (CCM) kulikuwa na manufaa maana kuna wakati ilitumika kama kitambulisho...
Wenye kufaidika na kadi za vyama kwa sasa ni wale tu wenye madaraka na wanaotarajia 'kupewa' madaraka...
Wenzako wanajivunia kuongeza kadi za MAGARI wewe unafurahia kuwa na makadi ya vyama mabovu (save for vyama vya UKAWA)
Kwahiyo??????????????/
Kwamasihara hivohivo ndiyo mnataka kumpa Lowasanchi kwatamaa alizonazo mpaka mchwa watauzwa humu