Zitto hiyo si demokrasia

Zitto hiyo si demokrasia

Weka ushahidi wa unachokisema, tunachojua yeye alisema/alitia nia ya kugombea ubunge Kigoma Mjini. Hakuna mahala wala maandishi yanayoonesha kuwa ameteua/ameweka watu wake kugombea nafasi mbalimbali uchaguzi mkuu ujao.
HAKUNA CHA USHAHIDI HAPA SIO MAHAKAMANI.Yeye mwenyewe alikwishatamka kuwa amekwishakumuandalia nafasi Edward Lowasa akifukuzwa ccm au akienguliwa kugombea urais kupitia ccm basi batagombea kupitia kwake ACT wasaliti,ebu jaribu kufuatilia ziara hizi.

Kinana alikuwa bukoba,zito akawa Tabora,na hii ni baada ya Lowasa kuondoka Tabora,kinana akaondoka Bukoba zitto akaingia bukoba,na kinana alikuwa ameingia bukoba baada ya Lowasa kuondoka pale.

zitto aliweka kambi kigoma mpaka Lowasa na serukamba walipomaliza kazi maalum na kuondoka na ndipo zitto ameanza ziara akimfuata taratibu Lowasa ambapo pia kinana na zitto ni kama wana ajenda ya siri dhidi ya UKAWA.

shame on all of people like ZZK:croc:
 
Mtajitahidi sana kumsafisha --------- tatizo dhambi aliyoifanya haisafishiki kirahisi hivyo, maana dhambi hiyo ni kama GUNDU,Wanaomsafisha mbele ya jamii kazi mnayo maana dhambi iliyomtafuna Mrema na --------- lazima itamtafuna tu yeye na wafuasi wake yetu macho.
 
Zomea ya Bukoba iliandaliwa na nani?pitia upya sababu za Msaliti kuzomewa

Tatizo akili zenu mmeshikiwa huko Ufipa ndio maana hamjitambui. Mna siasa za kizamani sana mnasahau kwamba hizi ni zama za vyama vingi vya siasa.Ukweli roho inawauma Zitto kuondoka CHADEMA na kujiunga chama kingine.Zitto alikuwa nguzo muhimu sana CHADEMA,vijana wengi umri wetu tumeijua CHADEMA kwasababu ya Zitto.

Hizo zomea zomea za kupangwa mimi naita utoto.Wanasiasa waliokomaa hawawezi kuandaa vijana waliokosa kazi wawape ujira wa viroba wakazomee mikutano ya vyama vingine,hii nimeiona CHADEMA tu.

Angalia picha za Mkutano Bukoba uone watu walivyotulia wakisikiliza sera nzuri za ACT,ninyi endeleeni kubwabwaja mtaoanana mwezi wa kumi.

10341433_875916065789877_2101065329193920465_n.jpg

10352039_875915999123217_4159613170268818450_n.jpg

11062335_875916002456550_1685480163677795289_n.jpg
 
HAKUNA CHA USHAHIDI HAPA SIO MAHAKAMANI.Yeye mwenyewe alikwishatamka kuwa amekwishakumuandalia nafasi Edward Lowasa akifukuzwa ccm au akienguliwa kugombea urais kupitia ccm basi batagombea kupitia kwake ACT wasaliti,ebu jaribu kufuatilia ziara hizi.

Kinana alikuwa bukoba,zito akawa Tabora,na hii ni baada ya Lowasa kuondoka Tabora,kinana akaondoka Bukoba zitto akaingia bukoba,na kinana alikuwa ameingia bukoba baada ya Lowasa kuondoka pale.

zitto aliweka kambi kigoma mpaka Lowasa na serukamba walipomaliza kazi maalum na kuondoka na ndipo zitto ameanza ziara akimfuata taratibu Lowasa ambapo pia kinana na zitto ni kama wana ajenda ya siri dhidi ya UKAWA.

shame on all of people like ZZK:croc:

Kumbe tatizo ni kumwambia Lowassa akikatwa jina na CCM basi ahamie ACT agombee Urais, mbona vyama vya upinzani vimeunda UKAWA? Mwanasiasa kuungana na mwanasiasa,chama na chama ni jambo la kawaida kwenye nchi inayoendeshwa kwa misingi ya demokrasia. Wewe huwezi kuyaona haya maana CHADEMA demokrasia ni kumuunga mkono Mtei,Slaa na Mbowe kinyume na hapo wewe ni msaliti.

Hebu kaeni kwenye nyumba yenu msiokaa mkatulia,tuacheni kwetu sie wapenda demokrasia tufurahie nchi yetu.

Najua una akili ya kufikiria nje ya boksi lakini ndio hivyo akili yako umeshikiwa sehemu,siku ukijitambua akili ikakukaa sawa utajirudi.
 
Unashikiwa akili na wewe unakubali wapi Zitto kafanya hivyo?

Mleta mada kasema yeye ni Chadema tunamwambia aanze na viongozi wake kwanza.

Na wewe ulivyokuwa punguani unaambiwa kuna jimbo linaitwa Mbowe unameza tu.

Acha kutetea ujinga hata kama haupatani na Zitto.

Hivi ni kwa nini mashabiki Wa zitto ni maccm? mwenye macho haambiwi tazama
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hujui kuwa Zitto ni mwiba kwa CHADEMA ndio maana bado wanamfuata fuata?
kati ya cdm na Zitto ni nani anamfuatafuata mwingine,nyie waganga njaa wa ACT kila kukicha humu JF ni kama vile hamlipwi bila kuisema CDM,sasa kama ni mikutano ya iskarioti ZZK haiwezi kumnogea bila kuisema CDM na makamanda wake.:madgrin::A S-rap:

je ni nani anaemfuata mwingine kati yenu wasaliti na sisi makamanda wa kweli wapigania haki bila unafiki na usaliti...kama mnafanya siasa fanyeni siasa kwa kueneza sera zenu bila kutafutana maisha binafsi,afya binafsi na hadi wapenzi binafsi wa wanasiasa wengine.kama mmetoka cdm basi fanyeni kusahau yaliyopita na mgange ya kwenu.na mapya kabisa acheni ujinga.
 
Malata Junior

Zitto kaishamalizana na Chadema lakini cha kushangaza Chadema bado wanaofuata mpaka ACT - Wazalendo.

Toka lini wafuasi wa Chadema wakawa washauri wa ACT - Wazalendo.

Mkuu ungeaanza kwanza na Mbowe amekuwa kama mfalme anajiongezea muda tu na kuchakachua kipengere cha katiba ya chama hamna ukomo wa uongozi sana Mbowe anaendelea kwa Mwenyekiti wa Chadema mpaka achoke mwenyewe.

Badala ya kupambana na hili unapambana na Zitto ambaye hayupo Chadema.


Na kwasisi ambao hatupo CHADEMA tunataka kujua ni demokrasia ya namnagani hii ambayo -------- ZITTO anaileta huko ACT?
 
Malata Junior

Zitto kaishamalizana na Chadema lakini cha kushangaza Chadema bado wanaofuata mpaka ACT - Wazalendo.

Toka lini wafuasi wa Chadema wakawa washauri wa ACT - Wazalendo.

Mkuu ungeaanza kwanza na Mbowe amekuwa kama mfalme anajiongezea muda tu na kuchakachua kipengere cha katiba ya chama hamna ukomo wa uongozi sana Mbowe anaendelea kwa Mwenyekiti wa Chadema mpaka achoke mwenyewe.

Badala ya kupambana na hili unapambana na Zitto ambaye hayupo Chadema.

Ritz leo wagombea/ watia nia ya kugombea urais ccm imefikia 36, una habari hiyo?
 
Last edited by a moderator:
Huyu Bavicha kaokota maneno kwenye vijiwe vya mbege na kuleta JF anajua kabisa wapo pro-Chadema watakubaliana naye bila kuhoji hali muradi katajwa Zitto.

Mbona mnamuogopa? Au mnaogopa kuongeza idadi ya wanaotakiwa kuwa ukonga?
 
Last edited by a moderator:
Malata Junior

Zitto kaishamalizana na Chadema lakini cha kushangaza Chadema bado wanaofuata mpaka ACT - Wazalendo.

Toka lini wafuasi wa Chadema wakawa washauri wa ACT - Wazalendo.

Mkuu ungeaanza kwanza na Mbowe amekuwa kama mfalme anajiongezea muda tu na kuchakachua kipengere cha katiba ya chama hamna ukomo wa uongozi sana Mbowe anaendelea kwa Mwenyekiti wa Chadema mpaka achoke mwenyewe.

Badala ya kupambana na hili unapambana na Zitto ambaye hayupo Chadema.


Nasisi ambao hatupo chadema ila tunapenda demokrasia tungependa kufahamu aina ya demokrasia ambayo AY4T0LA Zitto anaileta huko ACT.
 
Hivi wewe huoni aibu kuwekwa mlangoni kama bawaba? Unatumiaje muda wote kuandika pumba ambazo hata wewe hazikupi satisfaction yoyote? Unaongea pumba mfululizo bla hata haya kama kibaka!



Malata Junior

Masikini umekuwa mateka wa Mbowe mpaka umempa na jimbo...Ahahaha.

Eti Zitto kapitisha wagombea kwenye jimbo la Kahama na jimbo la Mbowe.

Bavicha bana.
 
Back
Top Bottom