Dr. Slaa uso kwa uso na Zitto kwenye Mdahalo tarehe 18 June!

Zzk Hana Hadhi Ya Kukaa Jukwaa Moja Na Dr Slaa, Kwanza Sijaelewa Maada Kuu Ya Huo Mdahalo Nini Kitazungumzwa Kwasababu Wamewaleta Watu Wasioeendana, Ingekuwa Ni Ukawa Sawa Lakini Zzk Si Ukawa Alafu Slaa Hajapitishwa Na Chama Kugombea, Na Kama Ni Kuzungumzia Masuala Ya Vyama Vyao Kwanini Ni Dr Slaa Na Asiwe Mbowe? Binafs Namshauli Dr Asihudhulie Mdahalo Huo Kwani Ni Wa Kitoto, Zaid Ajiandae Na Midahalo Miwili Huko Mbele, Mmoja Ni Wagombea Wa Ukawa Yaani Chadema, Cuf, Nccr Na Nld, Pili Ajiandae Na Mdahalo Yeye Na Mgombea Wa Ccm, Lakini Huu Sijaona Mantiki Yake.
 
Siasa imekua ushabiki wa arseanl na man u... JF nadhani mnahitaji kufanya filtering ya hizi thread!!! hivi tuna benefit nini kwenye huu uzi, JF inatakiwa iwe part of changes ya hii nchii.... ulichoandika hapa ni wanywa viroba ndio wawe wanaongea hizi taka taka
 
Una chuki na zito,
hukumbuki hata sheria mpya madini kwamba ni matunda ya kamati hiyo?

Una ropoka tu!
Sheria/sera za madini huandaliwa na Kamati ya Bunge ya madini?

Inakuweje akanyimwa hata mikataba ya madini na gesi?

Uwe unaweka facts, umbea peleka mbali! Hata big & top 10 tax payers Tanzania hamna hata kampuni yoyote ya madini Tanzania!
 
Huu kweli ushabiki.Huyo Mufuruki kasikia Zito anagombea chama gani ?Mdahalo ni presidential aspirants, sasa Zito naye yuko humo au mimi kiingereza sijui.
 
Zito ni presidential aspirant?
Ni nani kamuambia muandaaji kuwa Zitto, Slaa na Makaidi ni presidential aspirants? Mbona ni Lipumba tu ameshatangaza nia?
nn lengo la mdahalo? lini dr slaa na zzk wametangaza nia?nn lengo la mwandaa mdahalo kumwingiza zito?
nn lengo la mdahalo? lini dr slaa na zzk wametangaza nia?nn lengo la mwandaa mdahalo kumwingiza zito?
Tangazo linasema Presidential Aspirants. Bado naendelea kujiuliza kama Zitto ni mgombea urais mtarajiwa. Kisheria, kikanuni na kiutaratibu hataweza kugombea kwa mwaka huu. Kama ndivyo na kama kweli ni mtu wa kutafakari sitarajii atokee kwenye mjadala huo lakini pia sitarajii Dk. Slaa, Prof. Lipumba na Dk. Makaidi wafanye mjadala unaohusu wagombea urais 2015 na mgombea ubunge 2015. Aidha, najiuliza kama hii Tweet kweli ni ya Ali Mufuruki au hacking..........Vinginevyo sikutarajia atumie neno Presidential Aspirants akijua kuwa kati ya wanaoalikwa mmojawapo hana vigezo Kikatiba.......THINK BIG GUYS
Naona tatizo tunachanganya mambo, kuwa presidential aspirat..enye ambition ya kuwa Rais sio lazima uwe umeteuliwa na chama chako au uwe unagombea mwaka huu, sio lazima!!

Refer


aspirant
əˈspʌɪər(ə)nt,ˈasp(ɪ)r-/
adjective
adjective: aspirant

  • 1.
    having ambitions to achieve something, typically to follow a particular career.
    "an aspirant politician"

noun
noun: aspirant; plural noun: aspirants

  • 1.
    a person who has ambitions to achieve something.
    "an aspirant to the throne"
 
Wana jamvi, Wasalaam!

Dr Slaa anataraji kukutanishwa na wataalam wa uchumi akiwemo Prof Lipumba na Zitto kabwe!

Mdahalo huo ulioandaliwa na Ndugu Mafuruku unataraji kuwa wa aina yake kwani Slaa anakutanishwa na watu wawili ambao ni moto wa kuotoa mbali kwenye mambo mbali mbali hasa ya kitaalam.... na wengi wamekuwa wakijiuliza Slaa ataongea ni mbele ya wataalam hawa wakina Lipumba na Zitto?

Namshauri Dr Slaa ajiandae mapema na chama kimpe muda wa kitosha na material kwaajili ya mdahalo huu wa kitaalam unao subiriwa kwa hamu!

Wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa Slaa atajenga hoja gani mbele ya vichwa hivi hasa Lipumba na Zitto!

Pia kuna watu wameanza kufikiri kuwa huu mdahalo unaweza kumpa ushindi lipumba na kusababisha kuteuliwa kuiwakilisha UKAWA kwenye mbio za Urais 2015!

Karibuni wana jamvi!

Mbona alikwishajiandaa muda mrefu toka 1995 Anashinda uchaguzi kwa ajenda hizo hizo. Benjamini Mkaa aliyesomea kada ya uandishi wa habari na lugha alimshinda kwa hoja na Urais Lipumba na kupandisha uchumi wa nchi wakati sio mchumi, Kumbuka Mkapa aliandisha uchumi kushinda mwinyi wakati huo Prof. lipumba alikuwa mshauri Mkuu wa mambo ya uchumi wa Rais Mwinyi. Mdahalo unaonyesha 2 president debate hivi ZITTO kabwe anagombea Urais? Je ansifa za kugombea Urais kwa mujibu wa katiba iliyopo hapo ndipo naona waweka mdahalo hawajipanga thats why Watia nia wa CCM waliupuuza halafu mbona wana haraka hivi wakati mchakato wa watia nia haujakamilika kujua nani anapitishwa na chama chake
 
Wangefanya jumapili na warushe kwenye king'amuzi cha star times
Mi nadhani kuna kaujanja flani ndani yake
Ndio maana wanafanya week day's tena azam tv ambayo ving'amuzi vyake watz wengi hawana
Ni upuuzi ili zitto asionekane anavyopata aibu
umeandika kikakamavu sana kamanda .
 
Huu kweli ushabiki.Huyo Mufuruki kasikia Zito anagombea chama gani ?Mdahalo ni presidential aspirants, sasa Zito naye yuko humo au mimi kiingereza sijui.

Yeah, tatizo lipo hapo kwenye kiingereza.

Ata wewe unaweza kuwa presidential aspirant, enye ambition ya kuwa Rais
 

  • .
    attachment.php







Huyu Muandaaji hii kitu Ali Mufuruki kachemsha! inatakiwa ajieleze vizuri, Je, huu ni Mdahalo ama Mjadala?..maana ukienda Twitter anazungumzia mjadala lakini tangazo linasema ni Mdahalo wa wagombea Urais! lipi ni lipi?

Hivi zitto anagombea urais wa nini? usije kuwa Wa yanga
 
Kamanda mbona mnamuogopa sana Zitto.

Aogopwe na nani huyo mchumia tumbo.Ila kama ni mdaharo Wa wagombea urais basi hatakiwi kuwepo au vinginevyo uwe mdaharo tu Wa kawaida na usomeke hivyo
 
Last edited by a moderator:
Dr slaa ni dr wa kweli hao wote ni mboga kwa slaa kwani yeye ni doctor wa kijamii , kiroho, kimwili
 
Zitto ni mgombea urais naye?mjadala umejikita hapo.Hakuna anayemwogopa Zitto, ni mtoto mdogo sana kwa Dr Slaa na Prof Lipumba. Zitto talks the talk while Dr Slaa and Prof Lipumba walks the walk, they can not be afraid of a small boy like Zitto,hapa tunajadili ajenda iliyojificha ya kumwalika mtu ambaye hagombei urais,lengo la mdahalo wowote ule ni kuwapima wagombea juu ya uelewa wao wa mambo na kuwapa fursa wananchi kuwaelewa wagombea wanaotaka kuwachagua.Na kwa wagombea wenyewe,mdahalo ni fursa pekee ya wao naweza kuwashawishi wananchi kwamba wanaweza kuiongoza nchi kwa mafanikio.Swali linakuja,mdahalo huu utakuwa na manufaa gani kwa Zitto mtu ambaye anagombea ubunge?of course utakuwa na manufaa kwake binafsi na kwawale wanaomtumia kisiasa.

Naona unajichanganya sana.

Kwanza unasema Zitto hana uwezo hivyo atapwaya vibaya sana alafu tena unasema mdahalo utamnufaisha Zitto?how?utamnufaishaje wakati unasema mdahalo utamuonyesha jinsi alivyo kilaza?nilitegemea ufurahi ili Zitto akaumbuke basi kwenye mdahalo huo.

Pili, rudia tena, presidential aspirants haina maana ya mgombea urais rudi kwenye dictionary.

Tatu, sina shaka ata kidogo Prof Lipumba atafurahi kushiriki mdahalo vyovyote itakavyopangwa, anajiamini na ataitumia nafasi hiyo kueleza jinsi gani ataujenga uchumi akipata nafasi.

Tatizo letu Watanzania ni moja, hatutaki kuwapima watu tunaotaka kuwapa uongozi, tumeishazoea kuuziana mbuzi kwenye gunia, ebu tuache hii desturi mbovu!!
 
Mbona watu mko na uoga hivyo? Dr. Slaa ni mtu wa kumwogopa mtu yeyote? Dr. yuko fiti kwa mjadala wa aina yoyote ile. Hao wengine labda ndo wamwogope DR. na si vinginevyo. BTW hakukuwa na mantiki yoyote ya kuwepo mada hii hapa. Ina maana midahalo ni vita? Aibu kwa mleta mada.
 
Kwani mleta mada, ulikuwa unatuhabarisha, ama unataka kuanzisha mjadala kabla ya mdahalo unaodai kuwepo ama unataka kutuonyesha upande uliopo, au unataka kutuchonganisha ama unataka nini hasa?? Mbona umakini, ukweli, uzalendo na uungwana umekosa katika maneno yako????
 
Wana jamvi, Wasalaam!

Dr Slaa anataraji kukutanishwa na wataalam wa uchumi akiwemo Prof Lipumba na Zitto kabwe!

Mdahalo huo ulioandaliwa na Ndugu Mafuruku unataraji kuwa wa aina yake kwani Slaa anakutanishwa na watu wawili ambao ni moto wa kuotoa mbali kwenye mambo mbali mbali hasa ya kitaalam.... na wengi wamekuwa wakijiuliza Slaa ataongea ni mbele ya wataalam hawa wakina Lipumba na Zitto?

Namshauri Dr Slaa ajiandae mapema na chama kimpe muda wa kitosha na material kwaajili ya mdahalo huu wa kitaalam unao subiriwa kwa hamu!

Wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa Slaa atajenga hoja gani mbele ya vichwa hivi hasa Lipumba na Zitto!

Pia kuna watu wameanza kufikiri kuwa huu mdahalo unaweza kumpa ushindi lipumba na kusababisha kuteuliwa kuiwakilisha UKAWA kwenye mbio za Urais 2015!

Karibuni wana jamvi!

Usiwe unaleta mada kishabiki. Hauwezi hatasikumoja ukamlinganisha ZITTO na Dr. SLAA katika nyanja yeyote ile iwe kielimu, kiuongozi, kiuelewa wa mambo na hata kiimani. Kielimu, ZITTO anaelimu ya kawaida wakati Dr. SLAA ni PhD holder, Kiuongozi ZITTO hakuna kitu chochote alichokifanya alipokuwa mbunge cha kimaendeleo ambacho unaweza kumkumbuka nacho (mpaka kufikia kuamua kuhama jimbo la kugombea ubunge, kama angekuwa amefanya kazi kweli, angegombea tena jimbo hilohilo aone), wakati kwa SLAA jimbo lake lilipata maendeleo ambayo hawakuwa wamewahi kuyapata tangu nchi ipate uhuru. Kiuelewa wa mambo ZITTO sidhani kama hata yeye mwenyewe anajielewa kwa sababu hauwezi ukaniambia katika dunia ya leo unataka kuturudisha kwenye siasa za ujamaa, kweli kweliiiii??? No way out (eeehh Mwenyezi Mungu naomba utuepushie na huyu ZITTO). Kiimani sidhani kama kunamuumini wa dini yeyote mcha Mungu anaye weza kuwa MSALITI kama haka ka kijana. Kwahiyo ungetakiwa kujiuliza ZITTO ataongea nini mbele ya Dr. SLAA na LIPUMBA.
 
Back
Top Bottom