ujamaa ni haki sawa kwa wote,ni furusa sawa kwa wote
Sasa kama ujamaa ni haki sawa kwa wote na fursa sawa kwa wote basi maana yake
Marekani, Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani ni wajamaa maana wanavifuata hivyo vigezo
Korea Kaskazini basi sio wajamaa maana hivyo vigezo huko havipo.
USHAURI:Usilete mada kama huijui mada yenyewe, huu ni mfano kuwa ujamaa unaosema unaupinga huufahamu ni kitu gani