Recent content by Mambuchi

  1. M

    Tahadhari: Usiwaamini tellers, hesabu pesa zako kabla ya kuondoka kaunta

    Ndiyo maana kwenye dirisha la Tellers wameandika maandishi yanayosomeka...hesabu hela yako kabla hujaondoka counter. You are very ignorant. Kwa heri.
  2. M

    Vurugu Bungeni-"Blessing in Disguise!"- "Ni Kitendo cha Kishujaa! Kinachostahili Kupongezwa!".

    Usiegemee upande bwana. Tuwe wakweli. Mtu anaomba kusikilizwa hoja wewe unakataa hata kabla hujasikiliza hata neno moja. Hata mahakamani ambapo ni mahali "patakatifu" ukinyoosha kidole tu lazima Judge au Hakimu akupe fursa ya kuongea hata kama utaongea utumbo. Ndivyo ilivyo. Ndugai hafai...
  3. M

    Nimepata kidonda sehemu za siri kinauma sana nitumie dawa gani?

    By Chokochoko mhh nipeni basi mtazamo wenu kabla sijafika hospitali, je huu ni ugonjwa wa zinaa? Wee, mbona unapaniki? Umedoo nje wewe. Mwambie Mumeo.
  4. M

    Siasa za visasi: Rwanda yapandisha ushuru kwa magari ya mizigo yanayotokea Tanzania

    Ni hiv: Kuna tetesi kwamba wafanya biashara wote wa Rwanda, wameambiwa wasipitishe mizigo katika Bandari ya Dar. Hii ni njia mojawapo ya kuwafanya wasipitishe mizigo hapa. Kuongeza ushuru wa barabara kutawafanya Wafanyabiashara wengi kuacha kutumia bandari yetu. Na hii ina madhara ya kiuchumi...
  5. M

    Nini maama ya vidole viwili (The 'V' sign)?

    Ndugu yangu, haina maana huyu aliejibu kuwa " Vinga sana hivyo" ni Mkristo. Hapana. anaweza akawa ni muuislam lakini anataka kuchochea tu mambo. Si unaona yule mtoto wa Kiislamu wa mbagala alivyokubali kutoa kurani ili ikojolewe?. Ni muisilamu huyo, lakini alikubali kufanya hivyo akiwa na nia...
  6. M

    Kikundi cha Waislam chatawanywa kwa mabomu Mnazi mmoja - Dar

    Kweli Mkuu. Elimu ndio tatizo hapa. Maana mimi nashindwa kuwaelewa. Kama ni kosa yule mtoto wa kiislamu ndo mwenye kosa kwa kukubali kumshawishi yule mkristu akojolee ile korani ili ajeuke nyoka. Kama angekuwa na maadili ya dini, asingekubali kumwambia mwenzake ambae hajui umuhimu wa hicho...
  7. M

    wanaume wanao ni-approach hawafanani na mimi nisaidieni jamani!

    Aisee !. Du, huwezi kufanikiwa maifrendi. Kwanza wewe ni mbaguzi wa elimu. Kwani darasa likiwa dogo, hawezi kujiendeleza? Elimu haina mwisho. Ni mpangilio tu. Tatizo kubwa ndo hilo. Kuhusu umri si neno. Lbda kama wewe unadhani kwa kuwa na umri mdogo, hawezi mambo. Age does not matter. What...
  8. M

    Naweza kumbadili changudoa au baamedi?

    Nimekusoma. Wapo watu walioa Changudas, pamoja na kuwa hawakufahamu hivyo mwanzoni, na they became very good wives. Ni heri kuoa yule ambae ameshapitia uhuni wote na ameamua kutulia kuliko kuoa ambae unafikiri ametulia kumbe bado hajapitia haya mambo, na akishaolewa ndio kwanza anaaza uhuni. We...
  9. M

    SUGU, achana na Muziki!

    Lakini inategemea anafanya hivyo kwa kusudio gani. Angalia, Shwaznegar alikuwa Seneta wa state mojawapo Marekani, lakini aliendelea kucheza Filamu zake kama kawaida. Hata Mr George Bush.Junior akiwa President wa Marekani, alicheza Filamu moja hive ya " Attempt to Kill the President". Nae ni...
  10. M

    Hii Picha Ina Tafsri Gani??

    Wewe tulia bwana mdogo> Hunijui mimi> Mimi mtu wa pwani hata kama ukinishinda hapa< nitakuchawia>
  11. M

    Kweli dunia imeisha

    Ndiyo ajira zenyewe. Mnalalamika hakuna ajira, hajira zinakuja mnaanza kuzikimbia. Wewe hujasikia hawa Dada zetu wanaenda Uchina kuny.... za Waachina na wakirudi wanfungasha makontainer kibao ya bidhaa. Wanaendesha magari ya bei mbaya... Changamkia ajira hizo.
  12. M

    Msaada: atapata muhimbili university?

    Jamani tunashukuru kwa kusaidiana huku kweny mtandao. Na mimi naombeni mnisaidia ndugu zangu. Nina mdogo wangu ambae alikuwa anachukua "ECA". Hajafaulu sana. Ana 'E' -Economics; "S'-Commerce na "D" -Accounts. Je anaweza pata kozi ya " BAF''kweli kwenye vyuo vyetu?.Naombeni ushauri achue kozi...
  13. M

    Nanyaro: James Ole Milya sahau kabisa uongozi ndani ya Chadema

    Samahani mkuu. nakubaliana na wewe. We were a one party state. Na ulikuwa ni lazima ujiunge na chama, bila hivyo, hata Chou kikuu ulikuwa huwezi kwenda. Kwa hiyo Chama lazima kipate viongozi regarless uliuwa wapi. Unaweza ukawa haukuwa na mwachama wa chama chochote au ulicross kutoka somewhere...
  14. M

    David Silinde ashinda kesi yake ya kupinga ushindi wake dhidi ya DR lucas Siame

    Badilisha heading bwana.Nadhani siyo dhidi ya Mahanga. It must be someone else. Hebu tujulishe aliyeshinda ni wa chama kipi. Hizio kesi zilikuwa hazisikiki kabisa. Wengine ndio tunasia sasa kuwa kumbe kulikuwa na kesi hizi na zile...
  15. M

    Steven Masele ashinda kesi ya uchaguzi (Jimbo la Shinyanga mjini)

    Ni kweli ilikuwa haisikiki kabisaaa. Kwani ni mbunge wa chama kip? naomba kufahamishwa.
Back
Top Bottom