Tanzania 4 Life
Member
- Apr 30, 2012
- 21
- 7
Breaking Newzz:Nako huku Mbeya Makama kuu imetupilia mbali hoja za Dr.Luca Siame alizofungua kesi ya kupinga Ushindi wa Jimbo la Mbozi Magharibi.
Mhe.David Silinde ameshinda kesi hiyo hii leo.
Uhuru na Haki katika Utendaji wa Mhakama bado unaendelea katika Kesi za Uchaguzi......!!!
Mhe.David Silinde ameshinda kesi hiyo hii leo.
Uhuru na Haki katika Utendaji wa Mhakama bado unaendelea katika Kesi za Uchaguzi......!!!