sasa hizo bei sio issue kama wangekua wanakopesha wenyewe,wanakuambia nenda bank,ukienda bank nyumba ya million 200 kurudisha kwa miaka 15 utarudisha million 750 hadi 900. kwa hiyo uwe na uwezo wakulipa 5 million kila mwezi.
pamoja na kwamba wauguzi wanafanya kazi ktk mazingira magumu wanapaswa kuwa makini na uhai wa watu,kwenye labour word wengi manesi hawajali yaani wameshazoea mauti,hawashtuki kusikia mama au mtoto kafariki,na wengi wanafariki kwa uzembe wa manesi.
shida si ulokole , shida ni hilo dhehebu analosali, kunamadhehebu mengi sana ya kipepo siku hizi yanayotumia nguvu za giza,huwezi kuamini jinsi wanavyocheza na akili za watu.
Jua kwamba ufahamu wa mkeo ulishatekwa siku nyingi, cha msingi ni wewe ungepiga goti umlilie Mungu ufahamu wake urudi...
Tumia vitunguu swaumu fresh,unaweza kufanya dozi,punje 3asubuhi na 3jioni.unaweza kutafuna,kumeza kama vidonge au kubrend kwenye juice.Ni msaada sana.
Utakua unanuka vitunguu bt ni uponyaji.
Jaribu kwa wiki 2 mfululizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.