Recent content by mamari

  1. M

    Anthony Mtaka, Mwanri wanafaa Dar

    Msiwataje taje Sana,mtawaharibia,
  2. M

    Rais wetu amelewa madaraka, amesahau kuwa yeye ni Rais wa Watanzania

    Yes,Nafikiri umeelewa nini nyakati hizi
  3. M

    Plot4Sale Baba yangu anauza kiwanja chake, amekwama anahitajika akatibiwe

    Hata Mimi naona ni kidogo Kwa maeneo hayo.ila jitahidini isishuke hapo
  4. M

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Haki inaweza kucheleweshwa Ila si kupotea
  5. M

    National housing haina faida kwa wa Tanzania 90%

    sasa hizo bei sio issue kama wangekua wanakopesha wenyewe,wanakuambia nenda bank,ukienda bank nyumba ya million 200 kurudisha kwa miaka 15 utarudisha million 750 hadi 900. kwa hiyo uwe na uwezo wakulipa 5 million kila mwezi.
  6. M

    Wafanyakazi wa hospital ya Butimba Nyamagana wagoma

    pamoja na kwamba wauguzi wanafanya kazi ktk mazingira magumu wanapaswa kuwa makini na uhai wa watu,kwenye labour word wengi manesi hawajali yaani wameshazoea mauti,hawashtuki kusikia mama au mtoto kafariki,na wengi wanafariki kwa uzembe wa manesi.
  7. M

    Najuta kuoa mwanamke mlokole

    shida si ulokole , shida ni hilo dhehebu analosali, kunamadhehebu mengi sana ya kipepo siku hizi yanayotumia nguvu za giza,huwezi kuamini jinsi wanavyocheza na akili za watu. Jua kwamba ufahamu wa mkeo ulishatekwa siku nyingi, cha msingi ni wewe ungepiga goti umlilie Mungu ufahamu wake urudi...
  8. M

    Dawa ya mafua sugu

    Tumia vitunguu swaumu fresh,unaweza kufanya dozi,punje 3asubuhi na 3jioni.unaweza kutafuna,kumeza kama vidonge au kubrend kwenye juice.Ni msaada sana. Utakua unanuka vitunguu bt ni uponyaji. Jaribu kwa wiki 2 mfululizo
  9. M

    Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote ni wajanja!

    Yaani,u made my hr,wasiha je?kwa Mh Mwandri
  10. M

    Boss anataka kuniangamiza kimapenzi

    God will make a way,kama utaendelelea kusimamia haki ya ndoa yako kwa gar ama yoyote.
  11. M

    jamani mke wangu analala vibaya sana!!

    Kaa naye umhoji kwa utaratibu sana,kua tatizo hili analo toka lini?je huwa anaota ndoto mbaya?, lakini pia muwe mnamwomba Mungu kabla hamjalala.
Back
Top Bottom