Boss anataka kuniangamiza kimapenzi

Boss anataka kuniangamiza kimapenzi

Omba uhamisho hapo fasta...mbona Serikalini kila mahali ni ofisi kaka?

Hongera sana kwa maamuzi yako ya kushinda tamaa za kimwili...Ni wachache tu wanaweza kufanya ulivyofanya. BIG UP!
 
Jf ushauri mtapata lakini wazo langu hasa nyie ambao mnapata matatizo kwenye kazi zenu!! Kuweni makini huandishi wenu,cio ueleze A-z,coz yawezekana huyo unayemsema kumbe ni member humu jf,!!,,
 
It happens a lot, hasa kwetu sisi wanawake. Anyway, ungekuwa kwenye mashirika ni rahisi kuacha kazi na kutafuta kungine; lkn serikalini kuacha mafao yako because of that. Kama unaweza kwenda wizarani (adm) ukawaeleza matatizo yako na chanzo chake (ingawa ni ngumu kwa mwanamume kuaminika ktk hili) wangekusaidia kukupa uhamisho. You did a brave thing in Mwanza, wewe ndio unastahili kuitwa MWANAUME. Cheers!

cc mzabzab,
 
Mungu azidi kukupa maarifa ya kuilinda familia yako na kukuonyesha njia
 
It happens a lot, hasa kwetu sisi wanawake. Anyway, ungekuwa kwenye mashirika ni rahisi kuacha kazi na kutafuta kungine; lkn serikalini kuacha mafao yako because of that. Kama unaweza kwenda wizarani (adm) ukawaeleza matatizo yako na chanzo chake (ingawa ni ngumu kwa mwanamume kuaminika ktk hili) wangekusaidia kukupa uhamisho. You did a brave thing in Mwanza, wewe ndio unastahili kuitwa MWANAUME. Cheers!

HV kumbe sisi wengine si wanaume eti eh!!!. Dada umekwenda mbali pls jaribuni kutuheshimu. HV kama sisi wanaume ndo tungekuwa tunajipanga barabarani usiku na kuonyesha breast na kuwa nusu uchi kuvuta wanawake si mngekuwa mmefuta kabisa hili jina mwanaume.

Sisi Mungu ametupa akili na hekima ya uchambuzi hatuwezi kutumia tabia chafu tena binafsi ya machangudoa kuwaita kwa ku generalize kuwa ninyi si wanawake ila ninyi mnafanya hivyo kwa wanaume. Kama uli mess up na mchumba wako ukaachwa usiwe na NEGATIVE ATTITUDE KUBWA HIVYO kwa wanaume kwani bado kuna asilimia karibu 70 ya wanaume wanajiheshimu pamoja na ndoa zao
 
Jf ushauri mtapata lakini wazo langu hasa nyie ambao mnapata matatizo kwenye kazi zenu!! Kuweni makini huandishi wenu,cio ueleze A-z,coz yawezekana huyo unayemsema kumbe ni member humu jf,!!,,
Sio mbaya kama ni jambo la kweli, ili mtu ajua anamkwaza mwenzie

Mie ningependelea wenye tabia kama hizi kuweka full detail, hakuna kuoneana aibu kwenye uozo kama huu.

hebu ndugu ni pm jina la huyo dada, cheo chake na idara anayofanyia nimlipue laivu bila chenga!!!!!!!! nyambaf hakuna kulea uozo.
 
Ki ukweli ingekuwa ndo mimi,
sijui kama ningemuacha huyo dada hata kama sio edibo!!!!!!

ajilengeshe mwenyewe nimuache!!!!mmmmh sijiamini kwa hilo kwa kweli.

Hata mie nitajisikia aibu sana mwanamke kujilengesha alaf nimchekeeeeeee tu !!!!!!!

TUPO TOFAUTI SANA, vip ww ungeacha kumtafuna kweli hata zile za kijeshjeshi?
 
Omba uhamisho hapo fasta...mbona Serikalini kila mahali ni ofisi kaka?

Hongera sana kwa maamuzi yako ya kushinda tamaa za kimwili...Ni wachache tu wanaweza kufanya ulivyofanya. BIG UP!

Asante kwa mchango wako Mundu, nipo mbioni kuomba uhamisho ndugu yangu
 
God will make a way,kama utaendelelea kusimamia haki ya ndoa yako kwa gar
ama yoyote.
 
Mkuu sidhani kwamba Uhamisho wa kituo cha kazi ndio suluhisho, unaweza hamishiwa pengine penye matatizo zaidi ya hapo ulipo. Tatizo halikimbiwi, pambana nalo ukiwa humo humo, cha msingi ushasoma udhaifu wa hao wanaokupiga vita, wewe jitahidi ufanye kazi zako kwa mujibu wa taratibu zilizopo hapo, usilikoroge ili kuepuka kuangukiwa na jumba bovu.
Hongera kwa Ujasiri, pambana humo humo
 
Jf ushauri mtapata lakini wazo langu hasa nyie ambao mnapata matatizo kwenye kazi zenu!! Kuweni makini huandishi wenu,cio ueleze A-z,coz yawezekana huyo unayemsema kumbe ni member humu jf,!!,,

Nimekaa nalo hili suala kwa muda mrefu sana, na dhambi kubwa niliyoifanya kutomwambia mke wangu kuhusu huyu mdada. Ila kama ni member humu najua atakuwa anajua hii thread inamuhusu yeye na aache hii tabia chafu ya kutumia mwili wake kwa manufaa yake na kudidimiza watu wengine.
 
Ki ukweli ingekuwa ndo mimi,
sijui kama ningemuacha huyo dada hata kama sio edibo!!!!!!

ajilengeshe mwenyewe nimuache!!!!mmmmh sijiamini kwa hilo kwa kweli.

Hata mie nitajisikia aibu sana mwanamke kujilengesha alaf nimchekeeeeeee tu !!!!!!!

TUPO TOFAUTI SANA, vip ww ungeacha kumtafuna kweli hata zile za kijeshjeshi?

Committement Mkuu, ukijicommitte kama hata akivua nguo mbele yako dushelele halisimami isipokuwa kwa mke tu inawezekana.
 
Mkuu sidhani kwamba Uhamisho wa kituo cha kazi ndio suluhisho, unaweza hamishiwa pengine penye matatizo zaidi ya hapo ulipo. Tatizo halikimbiwi, pambana nalo ukiwa humo humo, cha msingi ushasoma udhaifu wa hao wanaokupiga vita, wewe jitahidi ufanye kazi zako kwa mujibu wa taratibu zilizopo hapo, usilikoroge ili kuepuka kuangukiwa na jumba bovu.
Hongera kwa Ujasiri, pambana humo humo

Asante kwa ushauri mkuu
 
Aisee umejihisi!
Wapi nimesema wanaume wengine si wanaume???? Au wanaume wengi (according to you) hawawezi kuhimili changamoto hiyo?

Sijamess up ktk maisha yangu na wala siwachukii wanaume; l am in love with my man, my son, my brother na wengi tu. Nimempa pongezi ya kuwa STRONG in what he BELIEVE in, na kwangu hiyo ni sifa kubwa sana ya mwanaume.

Kama wewe sio strong, pole lkn jamaa anahitaji pongezi. Calling me changu kwakuwa kuna watu wanajiuza hakiwezi kunifanya niwe kama sio!

HV kumbe sisi wengine si wanaume eti eh!!!. Dada umekwenda mbali pls jaribuni kutuheshimu. HV kama sisi wanaume ndo tungekuwa tunajipanga barabarani usiku na kuonyesha breast na kuwa nusu uchi kuvuta wanawake si mngekuwa mmefuta kabisa hili jina mwanaume.

Sisi Mungu ametupa akili na hekima ya uchambuzi hatuwezi kutumia tabia chafu tena binafsi ya machangudoa kuwaita kwa ku generalize kuwa ninyi si wanawake ila ninyi mnafanya hivyo kwa wanaume. Kama uli mess up na mchumba wako ukaachwa usiwe na NEGATIVE ATTITUDE KUBWA HIVYO kwa wanaume kwani bado kuna asilimia karibu 70 ya wanaume wanajiheshimu pamoja na ndoa zao
 
Committement Mkuu, ukijicommitte kama hata akivua nguo mbele yako dushelele halisimami isipokuwa kwa mke tu inawezekana.

Mkeo ana haki na wajibu wa kumshukuru Mungu kwa kupata mume MWANAUME.
 
Jf ushauri mtapata lakini wazo langu hasa nyie ambao mnapata matatizo kwenye kazi zenu!! Kuweni makini huandishi wenu,cio ueleze A-z,coz yawezekana huyo unayemsema kumbe ni member humu jf,!!,,
hilo nalo la kuzingatia maana jamaa kafunguka kila kitu
 
Back
Top Bottom