jamani mke wangu analala vibaya sana!!

jamani mke wangu analala vibaya sana!!

kaka miguu tu.mbona wewe ni mwili wote.what matters ni uvumilivu; na kugusa na hawa wenzetu kuna raha yake.
 
Its not bad but jaribu kumrekebisha kwani kwa hiyo staili yake ya kujiachia na kukuziba pumzi..ni hatari sana mkija kua na mtoto kwani anaweza ua mtoto kwa kumlalia ama kumziba pumzi kama wewe.
la sivyo mkiwa na mtoto mdogo inabidi wewe uwe mlinzi usiku mzima kumnusuru mwanao.
 
Kaa naye umhoji kwa utaratibu sana,kua tatizo hili analo toka lini?je huwa anaota ndoto mbaya?, lakini pia muwe mnamwomba Mungu kabla hamjalala.





wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..That good!

mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!

nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..

miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........

story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
 
wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..That good!

mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!

nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..

miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........

story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!
gawa dozi kamili kaka kabla ya kulala kwa mtoto huyo uone kama atazingua wakati wa kulala....Mpe kitu 120 mpeleke na penati tano tano akilala full maumivu uone kama atarukaruka hovyo kama popo kitandani
 
Dah! Nashindwa kucheka maana mi mwenyewe sijui nalala vizuri au la!
dah mm nataka mke kama huyo ... Haha raha sana.
In serious natania bana kwani nampenda sana shori wangu.
Ila hapo sioni kero yoyote anayokupa , nakushauri tu ununue kitanda kikubwa sita kwa mia
 
Ukiona Mpenzi wako ameanza kukuongelea mabaya yako (Weekness zako nje) kwa rafiki zake anza kujiuliza mswali. Sasa ndo mwenye siredi hii.
 
Piga picha uzilete hapa-hapa halafu tutakupa ushauri wa kina, tunataka tuone huo mlalo ili tu analaizi kwa kina.
 
wakati wa uchumba mara nyingi hakupenda kulala kwangu.nikajua ni binti anaejieshimu na kuutunza usichana wake..That good!

mara nyingi alipenda kuja weekend mapemaaa na kushinda siku nzima....na usiku nililazimika kumrudisha kwao.hatukua mbali saana!

nikatangaza ndoa,tukaoana akiwa mjamzito.!!...tabu ikaanzia hapo!!mama usiku hatulii utadhani anakimbizwa..

miguu inarushwa mithili ya leba...;mara umkute kanilalia;mara miguu yote ipo juu yangu;mara mikono nimezibwa kupumua..nikajiuliza ana pepo au? ebu nisaidieni kuna dawa ya hii makitu?am so down jamani..ukimuangalia day time kalivyo descent and so loving mama huwez amini usiku anavyojiachia.....akiamka kachokaaa>>,,,niliwahi kumwambia kwa upole ila ndio kilema chake....nifanyeje wapendwaa...........

story hii ya ukweli ni kwa niaba ya jama yangu mmoja jirani yangu!!

Mwambie aingize miguu ya mke wake baina ya miguu yake !!
 
yaani kwa kweli inasikitisha sana!nimejiweka ktk viatu vya huyo bi dada nikaona ni namba hamsini kabisa kwangu!mtoa mada umemchoraje mwenzi wa mwenzako kama sio wako!!!
Jamani kuna haja ya kurudisha jando na unyago! siri za vyumbani watu wanazitangaza public!! tuna matatizo gani hiki kizazi chetu?
 
Dah! Nashindwa kucheka maana mi mwenyewe sijui nalala vizuri au la!

Kama hujijui unavyolala njoo tulale wote nitakuambia kama ni vizuri au ni vibaya.
HAVE A NICE DREAMS MY CABURETA
 
Teh teh teh dunia ina mambo jaman..................vaa kofia km unaendesha pikpik atatulia mwenyewe akijigonga.
 
Back
Top Bottom