naungana na wewe kiasi fulani.
hata huduma pale wizarani ni nzuri ,mimi binafsi nimezipenda.
nilifwatilia hati yangu pale bila kujuwa kuwa kilawilaya ina siku yake.
basi nilienda siku ya wilaya yangu na nikapata bila longo longo na sikutoa hata shilingi.
Humu ndani nawapendea kitu kimoja......kwenye mambo ya maana kama haya mnatoa ushauri mzuri sana na wengine tuna jifunza humu humu...
ila mkiamua siku nyingine mna mpa mtu za usoo....
umemshauri vizuri .
ki ukweli hakuna mtu anayependa umasikini au shida.
Mshirikishe Mwenyezi Mungu atakuonyesha njia.
Na akisha kubariki uutumie utajiri huo kwa kumtukuza yeye na sio kunyanyasa wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.