Leo naomba ruhusa yenu nieleze kidogo kuhusu mkopo wa biashara.
U apotaka kuchukua mkopp wa biashara zingatia yafuatayo:
1.Uwe na biashara tayari
usikope ili kuanzisha biashara. Fanya biashara kwa mtaji wako kwa angalau mwaka mmoja bila mkopo. Hii itakusaidia kujua majira na misimu ya biashara...
Yes. Ila hiyoinakuwa ni sera ya bank husika. Kwa mikopo ya biashara wanaofanya reducing balance ni NMB, CRDB,TWIGA hao najua wanafanya hivyo.
Na wanaotumua Flat ni TPB NA EQUITY. Bank zingine sina uhakika.
kwa mfano Nmb na CRDB ukimaliza mkopo wa biashara kwa mwaka unajikuta umelipia riba...
Tena Haina uhalisia. Wakati mwingine ukitaka kujitongozesha utatongozwa, na ukijiheshimu utaheshimiwa. Kama upo kwenye ndoa au mahusiano imara kujitongozesha sio rahisi labda uwe hujiheshimu.
pole wikuwa hewani mkuu. Wanaposema flat rate wanamaanisha kuwa, Zile asilimia za riba zinakatwa hizo hizo kwa mkopo mzima, wakati reducing balance kila unapopunguza mkopo na riba inapungua yaani wanakata asilimia za kiasi cha deni lililosalia.
mfano : ukikopa milioni moja kwa mwaka mmoja. Na...
Nadhani tunakosa elimu ya kutosha juu ya mikopo. Kama utakopa mkopo wa mfanyakazi utakatwa kwa muda mrefu, miaka mitatu hadi sita. na kwenye mkataba unaambiwa kabisa kuwa riba ni asilimia 18 hadi 21 kwa mwaka. Sasa ukipiga kwa miaka uliyochukua ni lazima riba iwe kubwa.
Na hapo kuna aina mbili...
itakuwa na maambukizi mbalimbali kutokana na maumbile yalivyo. Ukimuona hivyo mshauri aende kwa daktari wa wanawake nina imani ni tatizo linaloweza kutibiwa likapona
Nilikuwa msibani, Ilitangazwa kuwa Andrew lipigwa risasi alipokuwa anajaribu kupatanisha waliokuwa wanagombana. He is a hero. Ameuawa akijaribu kuleta amani. R.I.P Andrew!
Mimi nadhani Tujipende sana sisi wenyewe kabla ya kupenda wengine kwa kiwango hiki. Yaani mimi mapenzi sintoyaruhusu yanipeleke jela wala ahera. kwenye ndoa wanaingia watu wazima ambao wanapaswa kujua wajibu wao wa kutunza ndoa zao
Ila pia unapomfumania mwenzio swali la kwanza jiulize UMEKOSEA...
Hodi kwenye jukwaa hili. Mimi ufuta huwa nausafisha, kisha nauanika ukishakauka naukaanga kwa moto mdogo na kwa muda mfupi kisha nachanganya na nafaka zingine tayari kwa kusaga.
Ila karanga hazishauriwi sana kwa lishe ya mtoto maana hutengeneza fangasi mapema zikiwa zimechanganywa. Mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.