Mwenzangu umetisha! Una 29 halafu mara ya mwisho mlionana chuo miaka 12 iliyopita Udom. Ina maana ulikuwa na miaka 17 mwaka wako wa mwisho? Ulisoma kwa mtaala wa nchi gani nipeleke wanangu niweze ku fast forward maisha. Ntashukuru ukinipa jibu 🙏🏾
Jipige ununue juicer mashine ya maana hata pale game mlimani zipo. Tengeneza juisi ya kabeji kila siku asubuhi na unywe kwa muda siku kumi mpka kumi na nne mfufulizo. Kunywa hiyo juisi saa moja kabla ya kutia kitu kingine tumboni.
Binafsi niliteseka na vidonda vya tumbo kwa zaidi ya miaka minne...
Unapatikana wapi? Je inawezekana kununua hizo chanjo na kwenda kuchanja mbwa wa mashambani huko maporini mwenyewe. Maana nadhani wanaishi kwa kudura za mungu tu.
Naomba msaada kwenye luga ya malkia nimetoka nusu kapa vile. Mfano nina page ya bidhaa zangu za mikono facebook na insta nazo natakiwa kulipia hayo mahela?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.