Recent content by mama fursa

  1. mama fursa

    Mwanadada, ukivaa gauni la chui chui lisikupendeze, hakuna nguo itakayokupendeza!

    Wala sababu ya kupendez cio chui chui bali nguo imeushik mwili wake ndo sabab kubwa nyingine hizo mbwembwe
  2. mama fursa

    Flora Mbasha anakualika kwenye ndoa yake

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. mama fursa

    Ushauri: Haamini kama nilimtunzia usichana wake

    Hapana nakiri kabisa kuwa sikuwa mtu wa hivo
  4. mama fursa

    Ushauri: Haamini kama nilimtunzia usichana wake

    Sina hiyo rekodi lkn nilivomaliza form6 nlienda jkt mi nkawa nahisi hiyo ndo sababu kubwa
  5. mama fursa

    Ushauri: Haamini kama nilimtunzia usichana wake

    Mimi ni binti wa miaka 22 nikiwa na miaka17 nilianza uhusiano na kaka mmoja jina (kapuni) yeye alikua mbele yangu mwaka mmoja. Tulidumu katika mapenzi kwa muda sasa tukiwa tumewekeana ahadi nyingi ikiwemo kuja kuoana baadae lakini tukiwa katika safari yetu ya mapenzi alianza kuhitaji kumega...
  6. mama fursa

    Mavazi ya wauguzi mahospitalini yanawatia wagonjwa majaribuni

    Miongoni mwa principles za manesi huruhisiwi kuvaa sare ndefu wakt unatibu wagonjwa
  7. mama fursa

    Ommy Dimpoz ataja kitu anachokiogopa zaidi maishani kwake

    Na ndo kwaida yake sana kuminya hilo dimpo mmmmmmmh!!
  8. mama fursa

    TV4Sale BNL Electronics: Smart TVs, LED Tvs for sale!

    Nam naomb kuuliza kwann? Tv za star x bei yake ni ndogo mno
  9. mama fursa

    Yanga waliuza mchezo wa jana kwa timu ya Azamu?

    Mfamaji hakosi kutapatapa
  10. mama fursa

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Kwa upande wangu nilikua napendelea kufungua biashara ya duka la vinywaji vya jumla na rejareja na nimuweke mtu kwaajiri ya kuliendesha pia wazo lingine lilikua ni kufungua duk la tigo pesa na m_pesa lakini mwongozo ndo sina
  11. mama fursa

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Awali ya yote habari za asubuhi na poleni na majukumu. Turudi kwenye pointi, mimi ni mfanyakazi wa serikalini lakini napenda kuingia kwenye ulimwengu wa wajasiriamali so naomba ushauri wa biashara gani naweza kufanya kwa muda wa ziada na mtaji wangu ni milioni 2. Hope nitapata msaada kutoka kwenu
Back
Top Bottom