Recent content by Mam D

  1. M

    Utamsaidiaje binti huyu?

    Kweli kuna watu wanafikiri kwa kutumia makalio, hata aibu huoni wenzio wanatoa ushauri wa maana wewe unakazana kuuza mwili kweli wewe mwehu una boa, jichunguze
  2. M

    Tamthiliya ya Her mothers daughter

    Ok thanks Sahar, nimemmis sana Celyn
  3. M

    Tamthiliya ya Her mothers daughter

    Yaani wanaboa halafu hawatoi taarifa
  4. M

    Tamthiliya ya Her mothers daughter

    Mbona imeanza kurushwa muda Sasa? Na leo inaendelea episode ya 38
  5. M

    Range rover ya Lady Jaydee

    Heshima kwako dada
  6. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Man u poleni sana
  7. M

    Michelle Obama anapotaka atendewe kama malkia na mumewe

    Naipenda hii couple:thumbup::thumbup:
  8. M

    Kujifungua

    Navyojua Mimi ni supu, mtori na uji wenye pilipili manga vinasaidia kukupa maziwa vizuri, japo mi uji wa pilipili manga ulinishinda, but ukiiweza ni mzuri sana
  9. M

    Tanzia: Nimempoteza baba mzazi leo mchana Muhimbili Hosp

    Pole sana Mungu awape faraja kipindi hiki kigumu
  10. M

    Heaven on earth avamiwa na kujeruhiwa vibaya

    Mungu ni mwema, utarudia hali yako, get well soon
  11. M

    Anaswa na Madawa ya Kulevya Uwanja wa Ndege Dar

    Ila nao Bado wasichana/wanawake hawakomi tu jamani hao mapapa mkiwakatalia inakuaje khaaa mnatutia aibu sana wasichana wenzetu
  12. M

    Tuhuma dhidi ya Zitto kuhongwa magari: Nimrod Mkono akanusha!

    Ila hii siasa ya nchi yetu sijui tunaenda wapi, kila Siku episode mpya
  13. M

    Inawezekana nikawa sahihi,JF ladies hebu nipeni maksi hapa ....!!!!

    Haahhahha kweli huo mtazamo binafsi ngoja wenyewe wake watoe majibu
  14. M

    Mimba miezi 9 week 3 hakuna uchungu nifanyeje

    Ukweli ni kama alivyosema hapo mjumbe kiwi maana huwa ni wiki 40 hadi 42 zikizidi hapo ndo utamuona dr, kwa maana hiyo wewe ni 39, usiwe na wasiwasi, wishing all the best
Back
Top Bottom