Recent content by malkia mie

  1. malkia mie

    JamiiForums Tanzania Anahitajika meneja wa redio

    kwa mawazo yako
  2. malkia mie

    JamiiForums Tanzania Anahitajika meneja wa redio

    redio ya kijamii
  3. malkia mie

    JamiiForums Tanzania Anahitajika meneja wa redio

    Sifa awe na uzoefu wa kuanzia miaka miwili Ukiwa anajua marketing ni sifa ya ziada
  4. malkia mie

    JamiiForums Tanzania Wanawake, ukitaka kujijua wewe ni mchafu, jiangalie hizi tabia unazo

    doh! itabidi nijitazame upya
  5. malkia mie

    JamiiForums Tanzania Ninahisi nahitaji msaada wa kisaikolojia...

    wakati mwingine ni mawazo tu na kama unaangalia porn za jinsia moja unaeza kuwa unatamani pia kuwa top?dawa muhimu zaidi ni kujichanganya na watu na kujiepusha na kukaa peke yako kabisaa
  6. malkia mie

    JamiiForums Tanzania Nashindwa kujielewa ni mimi tu 'nisiyependa kujichanganya na watu' au kuna wenzangu wapo hivi? Msaada tafadhali

    NAHIS YAKO IMEZIDI JAPO NA MIE NILIKUA NA HALI HIYO YA KUPENDA KUKAA PEKE YANGU KUTOPOKEA SIMU! LAKIN ILIKUJA IKAISHA BAADA YA KUOLEWA MUME WANGU ALIKUA NI RAFIKI YANGU MKUBWA SANA KIASI KWAMBA AKIWA MBALI NAUMIA...NILIVYOPATA WATOTO HIYO HALI IMEPOTEA KABISA SASA SIWEZ KUKAA PEKE YANGU ILA...
  7. malkia mie

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Afrika Mashariki Arusha: Muendelezo wa kesi ya kuhoji uhalali wa muungano

    hivi hii kesi iliishiiaga wap?
  8. malkia mie

    JamiiForums Tanzania Waziri akuta mifuko ya plastiki ikitumika kariakoo

    hili suala la mifuko linahitaji sana ushirikiano ngazi za juu hadi ngazi za chini kabisa mfano kitongoji..hivyo vifungashio vinatumika sana maeneo ya wulayani na mpaka sasa inaonekana ni kawaida tu! tamko lenyewe ni kama limepooza hivi sasahivi... elimu hakuna tena wala katazo...ni kama wahusika...
  9. malkia mie

    JamiiForums Tanzania Kemia iliyotumika ajali ya msamvu, moto peke yake usingeweza kuleta maafa kiasi kile!

    inaezekana umetoa elimu lakini uzi wako ulikua unaonyesha unakuja na maelezo ya kitaalam zaid badala yake umeweka blablaa umemaliza! siku nyingine jifunze vizuri kuhusu chemistry
  10. malkia mie

    JamiiForums Tanzania USHAURI: Moyo wangu umetekwa na mwanafunzi

    JELA UNAPAJUA?
Back
Top Bottom