Uturuki haiwezi kujiondoa NATO,kwani kwa kufanya hvo atakuwa ameruhusu Israel na USA wamshambulie,kwa sababu yupo upande wa Wapalestina
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hizi habari unatoa wapi?muda mfupi uliopita,makam wa Rais wa USA alikuwa na waziri mkuu wa Japan na wamesema njia sahihi ya kumuwajibisha DPRK ni vikwazo zaid vya kiuchumi,kwa maana nyingine hakuna vita,USA kasanda
Usifananishe watu,Sadam ni Sadam na Kim ni Kim,waraabu wana tabia ya woga,hao DPRK hawana urafik na mzungu na wala hawahitaji,achana na propaganda za western,watu wanatetea utaifa wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.