alexelias
JF-Expert Member
- Sep 1, 2017
- 2,032
- 3,198
Kwanza naomba hili bandiko lisiunganishwe na andiko lolote kwa faida ya Zitto mwenyewe.
Zitto amekuwa na tabia ya kuwasema vibaya hao Rais niliowataja hapo juu kwa mabaya tu na namna walivyo na tabia ya udikteta.Jambo hatari sana!
Asichokifahamu Zitto kwamba hiyo Miamba inauwezo wa kummaliza 'KUMUUA' kwa namna yeyote watakavyotaka wao.Uwezo huo wanao iwe hapa ndani ya Nchi au hata huko kwingineko anakopita kila siku kwenda kulia hali.
Unapomtaja taja Rais Putin kwa kumzodoa na visiasa vyako uchwara vya hapa kwetu ni sawa na kuchezea tanuri la moto wa nyuklia!
Unapomtaja taja Mwamba Erdogan kwa visiasa vyako uchwara ilhali makachero wake wamejaa pale kwenye ujenzi wa reli ya kisasa ni sawa na kuchezea moto wa gesi!
Mwamba wa East Africa Paul Kagame kuutaja taja kizembe namna ile ilhali kwako ni Kigoma ni sawa na kuchezea mke wa mtu,ni sumu!
Itoshe kukutahadharisha Zitto ni bora ukaendelea kumchezea sharubu Magufuli na si miamba ile-ITAKUMALIZA MAPEMA TU!
Zitto amekuwa na tabia ya kuwasema vibaya hao Rais niliowataja hapo juu kwa mabaya tu na namna walivyo na tabia ya udikteta.Jambo hatari sana!
Asichokifahamu Zitto kwamba hiyo Miamba inauwezo wa kummaliza 'KUMUUA' kwa namna yeyote watakavyotaka wao.Uwezo huo wanao iwe hapa ndani ya Nchi au hata huko kwingineko anakopita kila siku kwenda kulia hali.
Unapomtaja taja Rais Putin kwa kumzodoa na visiasa vyako uchwara vya hapa kwetu ni sawa na kuchezea tanuri la moto wa nyuklia!
Unapomtaja taja Mwamba Erdogan kwa visiasa vyako uchwara ilhali makachero wake wamejaa pale kwenye ujenzi wa reli ya kisasa ni sawa na kuchezea moto wa gesi!
Mwamba wa East Africa Paul Kagame kuutaja taja kizembe namna ile ilhali kwako ni Kigoma ni sawa na kuchezea mke wa mtu,ni sumu!
Itoshe kukutahadharisha Zitto ni bora ukaendelea kumchezea sharubu Magufuli na si miamba ile-ITAKUMALIZA MAPEMA TU!