Erdogan aapa kutotetereshwa na vitisho vya Marekani

Erdogan aapa kutotetereshwa na vitisho vya Marekani

Mungu yupo amtangulize mbele Wakt magereza kajaza watu wasio na hatia kisa udicteta?huyu hana tofauti na viongozi wa afrika ni mlafi wa madaraka huyu

Mbona humtaji huyo nguruwe na nduguye israel mpumbabu wameuwa na bado wanauwa wasiona hatia!! Unajifanya hulijui hilo eti!! Wazungu wameteka akili zetu..na ndiyomaana wanatutupia ndizi na kutufananisha na masokwe.
 
Mpumbav tu huyo ngoja Mmarekani ambinye mpaka kende zinyauke

Mturuki na sisi walalahoi yupi mwenye uwafadhali? Yani unamuita mturuki mpumbavu wakati sisi tumeshindwa hata kutengeneza toothpicks, tumekali kula kulala na kunya. Saa ngapi tutafanya vitu vya maana..kweli wazungu wameteka akili zetu."acha waendelee kutufananisha na masokwe "
 
Amesema Allah hajasema Mungu. Kwani umewahi kusikia magaidi wa kitaja Mungu? Wakati wote ni allah

Isis n.k ni waislamu? Maana neno Allah mtu yeyote anaweza akalitaja mbali na waislamu...endelea kukaririshwa na hao nguruwe pori...ndiyomaana wanatutupia ndizi na kutufananisha na masokwe.
 
Mbona humtaji huyo nguruwe na nduguye israel mpumbabu wameuwa na bado wanauwa wasiona hatia!! Unajifanya hulijui hilo eti!! Wazungu wameteka akili zetu..na ndiyomaana wanatutupia ndizi na kutufananisha na masokwe.
Acha chuki. Leo ukipewa visa ya kwenda America au Uturuki utachagua kwenda wapi?!
 
Erdogan mwakani muda kama huu wananchi wake wataandama aachie madaraka maana hivi vikwazo vitawaumiza sn...angalia venezuela leo watu hawana hata mkate
 
No uturuki anatunisha sana misuli kuna kipindi akawa anatishia kushambulia majeshi ya marekani iwapo hawatawaunga mkono Turkey, hebu niambye nyie member mmoja wa NATO Leo uturuki kujitia mbabe anafanya ya ajabu sana nafkr walimwacha tyu sasa ndo wana bite dadaki!
Huo uandishi wa tu halafu unaandika tyu watoto wa kike ndio naona unawafaa sana labda kama na wewe mdada fresh hila kama mwanaume haijakaa poa
 
Back
Top Bottom